Shehima zenu wakubwa!!
Naomba mnisaidie simu yangu imegoma gafla WHATSAPP inanipa text kua natakiwa kulipia ndipo nipate huduma
Nifahamisheni namna ya kulipia,,wapi ntafanya hayo malipo ili niendelee kupata huduma hii????? Naomba mnielekeze tafadhali!!
Naomba mnisaidie simu yangu imegoma gafla WHATSAPP inanipa text kua natakiwa kulipia ndipo nipate huduma
Nifahamisheni namna ya kulipia,,wapi ntafanya hayo malipo ili niendelee kupata huduma hii????? Naomba mnielekeze tafadhali!!