Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 332
Habari wana JF ,
Kwa wale wanaotumia huduma ya kukopa kupitia mishahara yao kwa njia ya simu kwa sasa huduma hiyo ya Salary Advance kupitia benki ya NMB imesitishwa. Haijajulikana kwa muda au kwa kudumu.
Hii ni changamoto kwa wafanyakazi wanaojipatia mikopo kabla ya mishahara yao kupitia huduma hii.
Mpaka sasa benki ya NMB haijatoa maelezo yoyote kuhusiana na hali hii.
Kwa wale wanaotumia huduma ya kukopa kupitia mishahara yao kwa njia ya simu kwa sasa huduma hiyo ya Salary Advance kupitia benki ya NMB imesitishwa. Haijajulikana kwa muda au kwa kudumu.
Hii ni changamoto kwa wafanyakazi wanaojipatia mikopo kabla ya mishahara yao kupitia huduma hii.
Mpaka sasa benki ya NMB haijatoa maelezo yoyote kuhusiana na hali hii.