Huduma ya kusajiliwa kampuni

Huduma ya kusajiliwa kampuni

EXPULSION

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2015
Posts
407
Reaction score
303
Wakuu habari za muda,

Nipo kwenye kipindi cha kujiandaa ndani ya hii miaka miwili, nijiajiri. Nataka nipate huduma ya kusajiliwa kampuni, ni wapi nitapata huduma hiyo, kuna mambo yananibana kufanya mwenyewe,

Wapi nitapata huduma, na je inaweza nigharimu kiasi gani

Nawasilisha
 
Wapo wengi wanaosajili kama mawakala lakini NAKUSHAURI KASAJILI MWENYEWE UPATE UZOEFU. Andaa National ID kama huna hutaweza itakubidi usubiri. Pia TIN
Wakuu habari za muda,

Nipo kwenye kipindi cha kujiandaa ndani ya hii miaka miwili, nijiajiri. Nataka nipate huduma ya kusajiliwa kampuni, ni wapi nitapata huduma hiyo, kuna mambo yananibana kufanya mwenyewe,

Wapi nitapata huduma, na je inaweza nigharimu kiasi gani

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wengi wanaosajili kama mawakala lakini NAKUSHAURI KASAJILI MWENYEWE UPATE UZOEFU. Andaa National ID kama huna hutaweza itakubidi usubiri. Pia TIN

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ishu na mimi leo nimejaribu kusajili online, vitu vilivyonishinda ni hv
-TIN, nitakuwaje nayo wakati bado sina kampuni, je naweza tumia ya leseni ya udereva
-Sina anuani ya kampuni, je naweza tumia ya binafsi
-Sina shareholder mwingine, je nawezaje kugawanya share na thamani yake
 
Back
Top Bottom