Huduma ya free local channels IPO??.

Drone Camera

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2017
Posts
14,155
Reaction score
14,114
Habarini wana Jf,
Majuzi tcra walitangaza kuwa makampuni yote ya ving'amuzi tz yanatakiwa yasizilipishe zile 5 local channels..
Sasa leo decorder yangu imekaza vyuma...,nikajaribu kupekua local channels japo nipate taarifa ya habari.....napekua nakuta No Access!!!!!!
Sasa hilo agizo lishaanza kutekelezwa ama nipambane na hali yangu....
 
Mfano ZUKU wanajifanya wamepinda kifurushi kikikata wanakata zote...TCRA mko wapi..?
 
Wanapangia watu kazi chanel inayokuwaga free ni tbc tu nayo sijui utatizama nn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…