Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,117
- 34,077
Habarini za asubuhi Wadau,
Kwa wateja wa CRDB kuna hii huduma ya SIMBANKING, yaani ufanyaji mihamala kwa njia ya simu. Kwa sasa huduma hii kwa CRDB ni hovyo sana na usiiamini tena huduma hii
Natumia huduma ya Cardless kwasababu sins ATM Card nasubiri kutoka kwao, sasa tangu juzi natoa pesa kwa njia ya simbanking kuna namba za siri wanapaswa kukupa sehemu ya kwanza na ya pili.
Sasa upumbavu unakuja pale unapotoa hela utashangaa wanakuletea namba ya sehemu ya kwanza tu au ya sehemu ya pili tu (ni mara ya 5 sasa na huwa nawafuata dirishani).
Hapa nipo stand nasubiri kusafiri nikajaribu tena huduma hiyo holaa, nikajaribu kutoa kwa Wakala wanasema CRDB mtandao haupo.
Ukimpigia mhudumu anakuambia update Simbanking App na bado inakataa.
KERO nyingine kubwa ni kwamba ukijaribu kuwapigia ndio kabisa hawapokei simu.
Crdb kama mpo huko ninyi mmekuwa kero, mna matangazo mengi ya huduma ila hakuna chochote.
Kwa wateja wa CRDB kuna hii huduma ya SIMBANKING, yaani ufanyaji mihamala kwa njia ya simu. Kwa sasa huduma hii kwa CRDB ni hovyo sana na usiiamini tena huduma hii
Natumia huduma ya Cardless kwasababu sins ATM Card nasubiri kutoka kwao, sasa tangu juzi natoa pesa kwa njia ya simbanking kuna namba za siri wanapaswa kukupa sehemu ya kwanza na ya pili.
Sasa upumbavu unakuja pale unapotoa hela utashangaa wanakuletea namba ya sehemu ya kwanza tu au ya sehemu ya pili tu (ni mara ya 5 sasa na huwa nawafuata dirishani).
Hapa nipo stand nasubiri kusafiri nikajaribu tena huduma hiyo holaa, nikajaribu kutoa kwa Wakala wanasema CRDB mtandao haupo.
Ukimpigia mhudumu anakuambia update Simbanking App na bado inakataa.
KERO nyingine kubwa ni kwamba ukijaribu kuwapigia ndio kabisa hawapokei simu.
Crdb kama mpo huko ninyi mmekuwa kero, mna matangazo mengi ya huduma ila hakuna chochote.