HUDUMA YA AFYA

HUDUMA YA AFYA

mtindi 22

Member
Joined
Aug 11, 2017
Posts
6
Reaction score
3
Habari: kwa wewe mkazi wa dar es salaamu mikoa ya jirani karibu upate huduma ya vipimo vya mwili mzima(general body check up) bei nafuu na vya kisasa kabisa pasipo kutolewa damu wala choo kwa sh elfu kumi tu.(10000). Kutana na daktari kwa ushauri na tiba pasipo kulimitiwa mda wa kuongea naye. Kwa wenye tatizo loote la kiafya katika system yoyote ya mwili tunawkaribisha sana pia kwa wale ambao wanahitaji kufanya check up tu kwa kujua afya zao karibuni ofisi zetu zipo kariakoo ukitaka kufika piga namba zifuatazo "0658410107" au "0785775796. KUMBUKA HUDUMA HII NI KWA WOOOTE HAIJALISHI WENYE MATATIZO TU YA KIAFYA HATA WASIO NA MATATIZO WANASHAURIWA KUIPATA. KARIBUNI SAN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani ungeeleza kariakoo mtaa gani ingekuwa vyema zaidi.
 
Kwa hiyo mtu anapimwa urinalysis,complete blood count, widal test etc bila kutolewa damu wala mkojo

Hivi haya mambo bado yapo kweli?
 
Back
Top Bottom