Huyu nae kapuyanga huko koote hadi na kina prezo sahizi anaanza kuwaza mpaka raisi wa Naija....hivi anawajua vizuri wa Nigeria kwa urogi....atavuja mpaka anakufa huyu....
usijali kiongozi historia ya hudah ni fupi sana kiufupi ni moja kati ya wasichana waliokuwa na beef na yule dada wa clouds kisa prezo hukitaka info zaid muulize diva!
usijali kiongozi historia ya hudah ni fupi sana kiufupi ni moja kati ya wasichana waliokuwa na beef na yule dada wa clouds kisa prezo hukitaka info zaid muulize diva!
hapana dini yake ni christian na ni moja kati ya wadada wenye jiwe mbaya kutokana na biashara anazo run nairobi kenya na kwa taarifa ni moja ya kati ya boss lady wakwanza east africa kununua gari aina ya fellari kwa ajili ya kuendea sokoni nairobi!
hapana dini yake ni christian na ni moja kati ya wadada wenye jiwe mbaya kutokana na biashara anazo run nairobi kenya na kwa taarifa ni moja ya kati ya boss lady wakwanza east africa kununua gari aina ya fellari kwa ajili ya kuendea sokoni nairobi!