Huawei y530 apps installation

Huawei y530 apps installation

hekimatele

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
9,889
Reaction score
2,799
Nna hiyo simu tajwa hapo Juu ila cha kushangaza kuna baadhiya apps nashindwa kuinstall kila wakati inasema memory low inaleta error lakini uhalisia ni kwamba memory card ina space kubwa na hata inbuilt memory Yake ina space bado imebaki.
Nini tatizo na utatuzi wake?
 
ram ndio tatizo. ram pia ni memory

punguza apps au nunua simu yenye ram kubwa
 
Me yangu ime crush software na nilipo mafundi hakuna nahitaji kuinstall upya os yake android jelly bean but sijui nianze na process gan....cheaf mkwawa help nidownload software zipi zinisaidie kuiflash ni huawei y530
 
Me yangu ime crush software na nilipo mafundi hakuna nahitaji kuinstall upya os yake android jelly bean but sijui nianze na process gan....cheaf mkwawa help nidownload software zipi zinisaidie kuiflash ni huawei y530

jaribu kuhard reset kwanza,

zima simu then washa huku umeshkilia cha kuongezea sauti
 
Naon haya matatzo ya huawei yanazd kuongzeka 2.
 
unacoweza kufanya ni kumove apps kwenye sd-card na uset sd-card kama install location yako kwa maana ukidownload kitu kiwe direct kinaingia kwenye sd-card
Kama kumove apps ingia kwenye settings - application- manage application- kisha chagua baadhi ya application move kwenye memory card mfano google service,whatsapp,jf and so on ila kuweka sd card kama install location download hii https://www.dropbox.com/s/pzhmrprqmg...-setup-1.3.exe. Kisha install ikimaliza utakuta shortcut kwenye desktop kisha weka USB debugging enabled ili kuweka on ingia settings-applications-development-usb debugging weka tick kisha open hyo adb then copy and paste hii command"ukiandika adb device press enter utaona cm yako imetokea kisha weka hii command" adb shell pm set-install-location 2 " press enter tayar ukitakakujua kama settings zime kubali weka hii command" adb shell pm get-install-location kisha press enter utaona install location ni namba 2 yaan namba 1 ni internal na 2 ni external copy command kama ilivyo
 
Back
Top Bottom