Huawei wako juu

Je kuna uwezo wa kuiflash huko mitaani Samsung Galaxy Edge 6 iliyotoka hivi karibuni?
 
Je kuna uwezo wa kuiflash/unlock huko mitaani Samsung Galaxy Edge 6 iliyotoka hivi karibuni?
 

umeongea kitaalam zaidi. Ahsante.
 

Umenifungua macho, nataka kinunua smart 4ne ambayo inakaa na charge n in processor ambayo no fast somehow. My budget is 1m and bellow.Thanx.
 
Do u know huawei z the one of largest technology company in the world? Tell me wat z so special in sumsung o lg that huawei doesn't have. Nimetumia Samsung n iPhone , juc ni mind set yako kwani lg ana ukongwe gani kwenye smart phone.

jibu hili hapa chini....

 

Kwenye ubora wa betri wamewapita HTC, Samsung, Apple, Sony, LG nk.
 
Kwenye ubora wa betri wamewapita HTC, Samsung, Apple, Sony, LG nk.

Kaka kwenye simu huwezi kutoa jibu general kuwa kampuni fulani simu zake zinakaa na charge kuliko nyengine. Kila kampuni ina simu zinazokaa na chaji na ambazo hazikai na chaji.

Mfano huawei ascend mate 2 inakaa sana na chaji kuliko simu nyingi sana wakati simu kama y530 ni kimeo cha chaji. Sony, nokia, lg pia wana simu ambazo ni za ukweli kwenye battery life.
 
Umenifungua macho, nataka kinunua smart 4ne ambayo inakaa na charge n in processor ambayo no fast somehow. My budget is 1m and bellow.Thanx.

Kama upo comfortable na simu kubwa ambayo ni nzuri all around basi nakushauri galaxy note 4. Utapata warranty ya miaka 2 utatengenezewa na kioo kikiharibika. Simu inakaa na battery kiasi kwamba utashinda nayo siku nzima bila kuchaji (inategemea na matumizi).

Ipo pia xperia z3 compact hii nayo inakaa na chaji sana na ni nzuri pia kwenye vitu vyengine kama processor nzuri na camera ya maana.

Huawei pia wanayo simu ambayo inakaa na chaji sana inaitwa ascend mate 2 sema ni low end smartphone inauzwa bei rahisi na processor yake sio fast sana.
 

Ongeza na huawei mate 7 inakaa na charge kuliko hizo ulizozitaja
 

Dah Samsung note 4 in nzuri but bei 1.4 m na ushee
 
Ongeza na huawei mate 7 inakaa na charge kuliko hizo ulizozitaja

Hapana mate 7 haizipiti hizo simu hapo juu, atleast inaweza shindana na note 4 ila inapitwa kwa mbali sana na xperia z3c pamoja na mate 2
 
Mimi ni mpenzi wa simu za android, nakiri kwamba huawei ascend P7 na mate 7ni mojawapo ya simu nzuri sana. Kwa wale wapenz wa huawei fungukeni experience zenu hapa

Simu hii Huawei ni bomu
 

Nitofautishie ubora wa tecno H6 na Boom j7 kama hutaona shida ingawa najua si mpenzi wa izi tecno zetu
 
Kwa upande wa user interface sijui kwa nini mi siwakubali OEM wote wa simu za android, ndo maana huwa napenda stock android
 
Kwa upande wa user interface sijui kwa nini mi siwakubali OEM wote wa simu za android, ndo maana huwa napenda stock android

Yap hata mimi napenda stock, ila kwa mtu wa kawaida kumwambia abdadili apn tu ni shughuli
 
Nitofautishie ubora wa tecno H6 na Boom j7 kama hutaona shida ingawa najua si mpenzi wa izi tecno zetu

Processor
-zote zinatumia same processor quadcore 1.3ghz cortex a7

-internal memory
Boom 7 ipo juu 16gb compare na h6 8gb

-battery
H6 ipo juu na 2350mah compare na 2020mah ya j7

Vyengine almost vipo sawa. Hivyo hapo cha kuchagua ni internal na battery. Na hilo jina boom maybe wamelenga audio so huwenda ikawa na speaker nzuri za kuplay sound
 
Umeona huawei P8 specification chief-mkwawa? Unaionaje?
 

Vipi huawei P8 unaonaje specification zake n its boxing?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ