Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,775
- 28,222
Write your reply...anayesema masozy wimbo mbaya aweke wake hapa tuuone!
🤣🤣😂Zima radio
Mimi nipo hapa namskilizaHuo wimbo wanaume wamebana pua yani...mara ya kwanza nilizani unaimbwa na wanawake
We cheed wewe
Huu mwandiko wako naujua
Wapo sahihi _"Eti mjomba naye ni mama" hapo tu ndo waliyumba [emoji23][emoji23][emoji23]
Dahh kitambo "--- ngoma nilikuwa naipenda sana hiyoMimi nipo hapa namskiliza
KalaPina umoja ni nguvu flow ya kibabe
Sherehe ita fana ehh ..ndugu pamoja na wazee .. hiyo siku mi naisuburiii ..isubiriiiiMasozy eeeh masozy masozy oooh masozy
kweli mkuu tuache utani jamaa wamefanya powa hapo ila watu wamevurugwa hapa naona..Sherehe ita fana ehh ..ndugu pamoja na wazee .. hiyo siku mi naisuburiii ..isubiriiii
Masozi ....maa maa masozi ... masooozi "
Aisee hii ngoma ni tamu sana " tena Sana ..huwa naielewa mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wengi wa humu wana pelekwa na hisia za u-team ... kitu hata kikiwa kizuri kaisi gani ..kama kitakua hakufanywa na team yao basi usi taraji kuona waki ki-supportkweli mkuu tuache utani jamaa wamefanya powa hapo ila watu wamevurugwa hapa naona..
Kweli mkuu u -team sio mzuriVijana wengi wa humu wana pelekwa na hisia za u-team ... kitu hata kikiwa kizuri kaisi gani ..kama kitakua hakufanywa na team yao basi usi taraji kuona waki ki-support
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp mtoto wa dada yako akikuita mama utaitika mkuu
Vp mtoto wa dada yako akikuita mama utaitika mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muscles - Misuli - Masoz.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]