HR Officer Job Post - TENS VENTURES

HR Officer Job Post - TENS VENTURES

Manyanza

Platinum Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,946
Reaction score
45,572
JUNIOR HR OFFICER

Location: Dar es Salaam
Gross Salary: TZS 1,600,000 per month

We are seeking a competent and motivated Junior HR Officer to join our team in Dar es Salaam.

Minimum Requirements:

  • Bachelor’s Degree in Human Resource Management or a related field.
  • Minimum of 3 years’ proven experience working in Human Resources.
  • Strong knowledge of HR processes and employment practices.
  • Excellent communication, organizational, and interpersonal skills.
  • Experience in the logistics sector will be an added advantage.

How to Apply:
Interested candidates should send their CV only, clearly indicating “Junior HR Officer” in the email subject line, to neema@tensventures.com.

Application Deadline: 11 July 2026.

Only shortlisted candidates will be contacted.
 
JUNIOR HR OFFICER

Location: Dar es Salaam
Gross Salary: TZS 1,600,000 per month

We are seeking a competent and motivated Junior HR Officer to join our team in Dar es Salaam.

Minimum Requirements:

  • Bachelor’s Degree in Human Resource Management or a related field.
  • Minimum of 3 years’ proven experience working in Human Resources.
  • Strong knowledge of HR processes and employment practices.
  • Excellent communication, organizational, and interpersonal skills.
  • Experience in the logistics sector will be an added advantage.

How to Apply:
Interested candidates should send their CV only, clearly indicating “Junior HR Officer” in the email subject line, to neema@tensventures.com.

Application Deadline: 11 July 2026.

Only shortlisted candidates will be contacted.
Manyanza bin Slot nimtafutie kazi ya kufagia ofisi
 
JUNIOR HR OFFICER

Location: Dar es Salaam
Gross Salary: TZS 1,600,000 per month

We are seeking a competent and motivated Junior HR Officer to join our team in Dar es Salaam.

Minimum Requirements:

  • Bachelor’s Degree in Human Resource Management or a related field.
  • Minimum of 3 years’ proven experience working in Human Resources.
  • Strong knowledge of HR processes and employment practices.
  • Excellent communication, organizational, and interpersonal skills.
  • Experience in the logistics sector will be an added advantage.

How to Apply:
Interested candidates should send their CV only, clearly indicating “Junior HR Officer” in the email subject line, to neema@tensventures.com.

Application Deadline: 11 July 2026.

Only shortlisted candidates will be contacted.
Bro hakuna jina la kampuni na hio gross salary ngoja nikae kimya mimi
 
Baada ya kututapeli😂
FB_IMG_1782795095804.jpg
 
Bro hakuna jina la kampuni na hio gross salary ngoja nikae kimya mimi
Kama una vigezo jaribu
Nakupa ushuhuda.
Baada ya kumaliza chuo na mkataba we kazi kwenye NGO fulani nikawa nipo nawatafuta Wazee wenye makampuni yao na Wakurugenzi wa Mabenki kuwaomba kama kuna connection za kazi lakini hakuna nilipofanikiwa.

Kuna jamaa akaniambia kuna kazi ya Stationary mjini vipi upo tayari? Nilijiuliza na kujifikiria sana baada ya siku 3 jamaa akanifuata tena. Hatimaye siku iliyofuata nilienda pale Stationary.

Hapakuwa na kazi ila ikawa kutumwa tu maana kulikuwa na Secretary pale , yule Secretary akaniuliuza umesomea nini ? Nikamwambia nimesomea IT na yeye akaniambia Mume wake ni IT Manager Kilimanjaro Hotel Kempsink .

Hapo hapo akaniunganisha na mume wake nikawa napiga mishe za nje na nikagain experience ya kutosha na jamaa akaniunganisha sehemu nzuri. Ofisi ilikuwa na tender kwenye Taasisi na Wizara za serikali na mahotel, NGO, Mashirika ya UN na Taasisi nyingi.

Usiogope hatua moja ndio mwanzo wa safari yako
 
Kiutumishi serikalini mwenye uzoefu wa miaka 3 kazini siyo junior.

Mwaka mbele anakua afisa daraja la kwanza, miaka 3 mbele anakua afisa mwandamizi.

Ila sasa kwa private siyo ajabu hii ikawa ni formality tu ila tayari mchongo una mtu, ukiapply consider kwenda kujiongezea experience.
 
Kama una vigezo jaribu
Nakupa ushuhuda.
Baada ya kumaliza chuo na mkataba we kazi kwenye NGO fulani nikawa nipo nawatafuta Wazee wenye makampuni yao na Wakurugenzi wa Mabenki kuwaomba kama kuna connection za kazi lakini hakuna nilipofanikiwa.

Kuna jamaa akaniambia kuna kazi ya Stationary mjini vipi upo tayari? Nilijiuliza na kujifikiria sana baada ya siku 3 jamaa akanifuata tena. Hatimaye siku iliyofuata nilienda pale Stationary.

Hapakuwa na kazi ila ikawa kutumwa tu maana kulikuwa na Secretary pale , yule Secretary akaniuliuza umesomea nini ? Nikamwambia nimesomea IT na yeye akaniambia Mume wake ni IT Manager Kilimanjaro Hotel Kempsink .

Hapo hapo akaniunganisha na mume wake nikawa napiga mishe za nje na nikagain experience ya kutosha na jamaa akaniunganisha sehemu nzuri. Ofisi ilikuwa na tender kwenye Taasisi na Wizara za serikali na mahotel, NGO, Mashirika ya UN na Taasisi nyingi.

Usiogope hatua moja ndio mwanzo wa safari yako
Mungu akijaalia nikawa manager mke wangu hawi secretary.

Anyways, niliacha kazi sehemu A nikaenda kupiga kazi na title ya hovyo na mshahara hovyo ila ndiyo connections zilipoanzia.
 
Mungu akijaalia nikawa manager mke wangu hawi secretary.

Anyways, niliacha kazi sehemu A nikaenda kupiga kazi na title ya hovyo na mshahara hovyo ila ndiyo connections zilipoanzia.
Connections hujitokeza pasipo na kutarajiq
 
Back
Top Bottom