Keagan Paul JF-Expert Member Joined Jul 19, 2018 Posts 518 Reaction score 3,193 Aug 4, 2025 #1 Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com
Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com
Expensive life JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 3,930 Reaction score 12,341 Aug 4, 2025 #2 Million 3 kwa mwezi ipo mkuu?
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,731 Aug 4, 2025 #3 Keagan Paul said: Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com Click to expand... We ni mtoto wa daudi bashite?!
Keagan Paul said: Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com Click to expand... We ni mtoto wa daudi bashite?!
Niwaheri JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 3,607 Reaction score 5,744 Aug 4, 2025 #4 Watu mnaoleta matangazo ya kazi jitahidi mueleweke taja vigezo taja na mshahara
M mwanadodoma JF-Expert Member Joined Mar 12, 2024 Posts 449 Reaction score 937 Aug 4, 2025 #5 Keagan Paul said: Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com Click to expand... Kuna jamaa yangu amekutumia CV,kazi kwako Mkuu
Keagan Paul said: Habari zenu Wakuu. Anahitajika HR aliyepo dodoma, mwenye uzoefu wa kufanya kazi Kiwandani. Tuma CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com Click to expand... Kuna jamaa yangu amekutumia CV,kazi kwako Mkuu
BARON99 JF-Expert Member Joined Jan 25, 2017 Posts 4,754 Reaction score 5,401 Aug 11, 2025 #6 Leteni mrejesho basi Wakuu mbona kmy tena?
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 51,974 Reaction score 125,662 Aug 11, 2025 #7 BARON99 said: Leteni mrejesho basi Wakuu mbona kmy tena? Click to expand... Bado tupo kwenye uchambuzi wa cv zilizotufikia mana n nyingi sana pamoja na ya huyo jamaa hapo juu anayetaka mshahara wa 3M japokuwa mshahara halisi ni laki mbili unusu ila amesema yupo tayari kufanya kazi kwa moyo mkunjufu kabisa 😎 Siku sio nyingi tutawaita kwenye usaili 🔥
BARON99 said: Leteni mrejesho basi Wakuu mbona kmy tena? Click to expand... Bado tupo kwenye uchambuzi wa cv zilizotufikia mana n nyingi sana pamoja na ya huyo jamaa hapo juu anayetaka mshahara wa 3M japokuwa mshahara halisi ni laki mbili unusu ila amesema yupo tayari kufanya kazi kwa moyo mkunjufu kabisa 😎 Siku sio nyingi tutawaita kwenye usaili 🔥