baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,778
- 2,052
- Thread starter
- #41
nikweli mkuu nimashine nzur sana lakin nlipata shida yadharula sana, ngefanyaje kila kona kumebana inabidi tuvizurii,
mm ninatabia moja...
Kuliko kuuza bidhaa yangu ninayoiamini kwa bei ya dharau bora iliwe na mchwaa hakii, na pia naamini katika lugha nzuri kwa mteja ila sio kumbembeleza mteja.