HP ipo sokoni bei rahisi sana

HP ipo sokoni bei rahisi sana

Watu humu wengi wako kimasihara wanunuzi sikuizi wamekua adimu wengi ni waulizi wa bei tu
 
Mbona risit uliyoonyesha ni ya kuandika kwa mkono?
 
vitu hadim
Screenshot_20190923-080611.jpeg
Screenshot_20190923-081256.jpeg
 
Habar wakuu, asanteni sana pc hiyo nmefanikiwa kuiuza kwa 250 asanteni sana kwamchango wenu
 
vizurii,
mm ninatabia moja...
Kuliko kuuza bidhaa yangu ninayoiamini kwa bei ya dharau bora iliwe na mchwaa hakii, na pia naamini katika lugha nzuri kwa mteja ila sio kumbembeleza mteja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom