Hello wanajamii,
Nimetumiwa blackberry bold 9870 T-Mobile toka US, aliyenitumia ameniambia imeshakuwa unlocked, lakini sipati services zozote nikiweka line yangu ya Vodacom. Nimeenda Vodacom wakasema iko locked kwa T-Mobile services. Nimeenda Sapna wanisaidie ku-unlock wanaleta longo longo nyiingi na wana tuhuma za kukwapua spare toka kwenye simu za watu hivyo sikuweza kuiacha pale waichezee.
Kama kuna mwanajamvi mwenye ujuzi huo au anamfahamu mtu wa kuaminika mwenye ujuzi huo anisadie.
Toa maelezo zaidi!
Ukiweka sim card ya VODA inakuuliza Unlock Code?
if so buy the unlock code from online and follow the instructions below
BlackBerry Unlock Instructions (83xx/85xx/88xx/8900/9000/9300/96xx/97xx)
• Ensure a SIM Card is inserted
• Go to ‘Manage Connections'
• Click on ‘Turn All Connections Off'
• Go to ‘Options'
• Click on ‘Advanced Options'
• Click on ‘SIM Card'
• Type ‘MEPD' (letters will not appear on-screen but a menu will pop up.)
• Type ‘MEP2′ (user will be prompted to enter MEP code)
• Enter the MEP2 code (CONFIRM you get "Code Accepted" message)
o *If you also have a MEP4 code, type ‘MEP4′ (you will be prompted to enter MEP code)
o Enter the MEP4 code (CONFIRM you get "Code Accepted" message)
• Reboot device
• Go to ‘Manage Connections'
• Click on ‘Restore Connections'
• Device is now unlocked
Note: only voice will work, data will never work
kama haikulizi kitu ni CDMA hiyo it will never work