how to remove master password on harddisk

how to remove master password on harddisk

tmg

Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
22
Reaction score
4
habari wakuu heshima nyingi...!! nina hard disk yangu....ilikuwa kwenye laptop dell latitude D630.. ikawa haiwaki...katika kuichek nikajua ram ndo tatizo nikabadilisha......ila after changing it inawaka but inaishia kwenye bios....this HDD is protected by password authentication sytem. you can not access data on it ...without it...
nikasema ngoja nitoe niweke kwny machine nyingine ...haionekani..!! nawakilisha..!!
 
Ondo CMOS betry kwa muda itapoteza kumbukumbu.
 
Unaweza kuingia BIOS? Angalaia kam akuna option ya kuzima hiyo password.
 
hamna....it only giv u option ya kuingiza password..!!....ofcoz nimetoa cmos battery n do ol options.....nothin ..!@!
 
Hauwezi kufuta CMOS kwa kutoa battery kwenye laptops, CMOS ipo kwenye permanent storage.

Unamaanisha unapata password ya BIOS pia? Au ile ile ya HD? Kama ni ya BIOS hiyo inaweza kupatikana, inaweza kuwa calculated kwa kuangalia service tag sticker kwenye hiyo laptop. Bandika service tag hapa au jaribu hizi mwenyewe Dogbert's Blog: BIOS Password Backdoors in Laptops
 
  • Thanks
Reactions: tmg
hauwezi kufuta cmos kwa kutoa battery kwenye laptops, cmos ipo kwenye permanent storage.

Unamaanisha unapata password ya bios pia? Au ile ile ya hd? Kama ni ya bios hiyo inaweza kupatikana, inaweza kuwa calculated kwa kuangalia service tag sticker kwenye hiyo laptop. Bandika service tag hapa au jaribu hizi mwenyewe dogbert's blog: Bios password backdoors in laptops

duh tunapokwenda ni nomah, sasa mpaka ya bios inatoka!! Dah, kweli sasa hv nothing is secured!!
 
  • Thanks
Reactions: tmg
i mean ya HDD..!! thnx ur such a help..!!😛oa😛oa
 
i mean ya HDD..!! thnx ur such a help!!😛oa😛oa
 
Back
Top Bottom