How to prove virginians

How to prove virginians

kibenten

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2018
Posts
499
Reaction score
510
Wakuu naomba msahau mengine yote afu tu concentrate na hii kitu,,wazee wa kuchimbua makaburi tafadhalini sana,haya ni maisha tu na tunapitia na kufanya vitu vingi,,na mkumbuke mimi ni binadamu wa kawaida na maisha hayohayo unayoyaona kwa wengine.

SASA TWENDE KAZI.


Nna mchumba wangu nampenda sana,lakini hatajawahi kukutanisha sehemu zetu zile ambazo zinakumbana na joto jingi apo kati.

Ni mwaka wa pili huu sasa. ,off course ni my future wife, na ana deserve kwa kweli ana kila sifa ya kuwa wife.kwanza huwa simhudumii kwa garama nyingi ni ile kawaida tu buku buku,jero za vocha n.k.hapigi vizinga kama wa kwenu.

Nisirefushe sana maelezo ntawachosha.

Hatujawahi kujunjuana kwa sababu kuu ya kwake anayoisema kuwa bado yuko BIKIRA hivyo nisiwe haraka kufanya ivo mana mi ni wake milele. Naheshimu maamuzi yake na mwili pia hivyo sitaki kumvurugia mambo yake.

Sasa ndugu zangu mimi nataka nihakikishe kama kweli ni bikira au laah .
Ni viashiria gani naweza kuviona kwa huyu kigori nigundue km kweli ni bikira??

Sina haraka ya kumlazimisha kumuingilia kwani wa kuwaingilia wapo wa kutosha.

Nachotaka mimi ni kuhakiki kama kweli ni bk au ananidanganya tu.

Niishie hapa.

Karibuni;
 
Kuna mwenzako huko kapata kipigo safi kabisa.


 
Kuna mwenzako huko kapata kipigo safi kabisa.


Ndo nimesoma hiyo thread mda huu,,imenimotivate kuandika hii uzi ili nijue yasije kunikuta kama ya huyo jamaa.
 
Simple kama una dada au mama mtu mzima mpe kazi aifanye ila kama upo mbali nakishauri mshtukize mechi kisha kagua mzigo mwenyewe haihitaji nguvu utaiona tu mashine ni zero km
 
Ni mwaka wa pili huu sasa. ,off course ni my future wife, na ana deserve kwa kweli ana kila sifa ya kuwa wife.kwanza huwa simhudumii kwa garama nyingi ni ile kawaida tu buku buku,jero za vocha n.k.hapigi vizinga kama wa kwenu.

Tangia lini kibenten kikapigwa mzinga?

Halafu alokuambia kila demu anapiga mzinga ni nani?

Au unadhani mademu wote wana tabia kama za kwenu vibenten za kupiga unnecessary mizinga?

Pole sana lkn jua hapo hakuna bikra kwa hiyo hamna haja ya kujifunza namna ya kuitambua bikra.

Unforgetable
 
Wakuu naomba msahau mengine yote afu tu concentrate na hii kitu,,wazee wa kuchimbua makaburi tafadhalini sana,haya ni maisha tu na tunapitia na kufanya vitu vingi,,na mkumbuke mimi ni binadamu wa kawaida na maisha hayohayo unayoyaona kwa wengine.

SASA TWENDE KAZI.


Nna mchumba wangu nampenda sana,lakini hatajawahi kukutanisha sehemu zetu zile ambazo zinakumbana na joto jingi apo kati.

Ni mwaka wa pili huu sasa. ,off course ni my future wife, na ana deserve kwa kweli ana kila sifa ya kuwa wife.kwanza huwa simhudumii kwa garama nyingi ni ile kawaida tu buku buku,jero za vocha n.k.hapigi vizinga kama wa kwenu.

Nisirefushe sana maelezo ntawachosha.

Hatujawahi kujunjuana kwa sababu kuu ya kwake anayoisema kuwa bado yuko BIKIRA hivyo nisiwe haraka kufanya ivo mana mi ni wake milele. Naheshimu maamuzi yake na mwili pia hivyo sitaki kumvurugia mambo yake.

Sasa ndugu zangu mimi nataka nihakikishe kama kweli ni bikira au laah .
Ni viashiria gani naweza kuviona kwa huyu kigori nigundue km kweli ni bikira??

Sina haraka ya kumlazimisha kumuingilia kwani wa kuwaingilia wapo wa kutosha.

Nachotaka mimi ni kuhakiki kama kweli ni bk au ananidanganya tu.

Niishie hapa.

Karibuni;
Hivi shule bado hazijafunguliwa?
Nenda ukakojoe ulale.
 
Tangia lini kibenten kikapigwa mzinga?

Halafu alokuambia kila demu anapiga mzinga ni nani?

Au unadhani mademu wote wana tabia kama za kwenu vibenten za kupiga unnecessary mizinga?

Pole sana lkn jua hapo hakuna bikra kwa hiyo hamna haja ya kujifunza namna ya kuitambua bikra.

Unforgetable
Kwa nn unasema hapo hakuna bikira,,we umejuaje kama hana.
 
Simple kama una dada au mama mtu mzima mpe kazi aifanye ila kama upo mbali nakishauri mshtukize mechi kisha kagua mzigo mwenyewe haihitaji nguvu utaiona tu mashine ni zero km
Sawa mkuu nmekuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom