How to make your relationship last forever

Ni kila mmoja kujitambua na kutambua wajibu wake na nafasi yake kwa mwenzie,Changamoto no lazima ziwepo kwa sababu kila mmoja ana makuzi yake,hobby zake na vipaumbele vyake,kinachotakiwa ni kuviunganisha ili muende pamoja,unapoamua kuishi na mwenzako kuna baadhi ya vitu unatakiwa ubadilike kutokana na kuwa mwenzako kuna vitu ambavyo anavipenda na vingine havipendi. Ikitokea kutokuelewana jambo,focus kusuluhisha kuliko kuachana,Kuwa makini kuchagua marafiki wenu maana si kila mtu anapenda kuona watu wanapendana,"Ninakupenda" na "samahani" huleta haiba kwenye mahusiano na kufuta vifundo kwenye nyoyo za wapendanao. Usichukulie mapungufu ya mwenzi wako kama silaha ya kumuadhibu,bali mpende kutokana na hayo na utafute namna nzuri ya kuyakabili,kama ana kengeza...assume kwamba anarembua...uvumilivu na kuaminiana iwe ni ngao na kila mmoja ajifunze kumfikiria mwenzie vizuri.
 
muhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo
Hahaha lazma ugusie pesa kidogo
 
muhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo
Hapo kwenye pesa umepatia mkuu, hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari tu
 
Umemaliza yooote
 
muhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo
well said...nimependa apo kwenye ela miss chaga
 
Ujifunze kusamehe..U must know we live to learn na hakuna alie mkamilifu..Anaweza akakukwaza but mwishowe samehe tu kama mungu anavyotaka.Kwa hili pia mtadumu!
 
Well said mkuu.. thats positive
 

Hahhaa nimeipenda ii
 
muhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo

Haha katika ubora wako
 
Ujifunze kusamehe..U must know we live to learn na hakuna alie mkamilifu..Anaweza akakukwaza but mwishowe samehe tu kama mungu anavyotaka.Kwa hili pia mtadumu!
sure...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…