Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,788
kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo
nashicha mbe sha kopfo?Manka shimboni shafoo...!?
Hahaha lazma ugusie pesa kidogomuhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo
Hapo kwenye pesa umepatia mkuu, hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari tumuhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo
watafute pesa tuHapo kwenye pesa umepatia mkuu, hayo mengine ni mazungumzo baada ya habari tu
hiyo ndiyo achali ya mapenziHahaha lazma ugusie pesa kidogo
Umemaliza yoooteMapenzi ni two ways direction. Give and take.... baaaasi.
Kama unataka usichitiwe, usichiti
Unataka kupendwa sana, penda sana
Oneaneni huruma
Peaneni moyo
Kusiwe na siri baina yenu
Lindaneni na maradhi
Support each other...
Na kubwa zaidi..... Be best friends. Mwisho wa matatizo na happy ever after
well said...nimependa apo kwenye ela miss chagamuhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo
Hapo ndiyo penyewe....well said...nimependa apo kwenye ela miss chaga
Well said mkuu.. thats positiveNi kila mmoja kujitambua na kutambua wajibu wake na nafasi yake kwa mwenzie,Changamoto no lazima ziwepo kwa sababu kila mmoja ana makuzi yake,hobby zake na vipaumbele vyake,kinachotakiwa ni kuviunganisha ili muende pamoja,unapoamua kuishi na mwenzako kuna baadhi ya vitu unatakiwa ubadilike kutokana na kuwa mwenzako kuna vitu ambavyo anavipenda na vingine havipendi. Ikitokea kutokuelewana jambo,focus kusuluhisha kuliko kuachana,Kuwa makini kuchagua marafiki wenu maana si kila mtu anapenda kuona watu wanapendana,"Ninakupenda" na "samahani" huleta haiba kwenye mahusiano na kufuta vifundo kwenye nyoyo za wapendanao. Usichukulie mapungufu ya mwenzi wako kama silaha ya kumuadhibu,bali mpende kutokana na hayo na utafute namna nzuri ya kuyakabili,kama ana kengeza...assume kwamba anarembua...uvumilivu na kuaminiana iwe ni ngao na kila mmoja ajifunze kumfikiria mwenzie vizuri.
Learn to speak the language of your lover/spouse
Language of your partner may be as different as Chinese from English no matter how hard you try to express your love in English if your spouse/lover understand only in Chinese you will never understand how to love each other
Asante mkuuhahhaa nimeipenda ii
muhimu kujifunza kushuka.omba msamaha pale panapoitajika.. usiwe mfukunyuku wa kujua madhaifu au ubaya wa mwenzio jitahidi kutafuta uzuri we mwenzio zaidi... kama ni mwanaume uwe mtoaji wa pesa na mambo kama hayo