Malaika AD
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 496
- 316
My singles, lets hear what these married folks have to say kwa kweli. Maana wengi wangetamani kuendeleza girfriend/boyfriend to wife/husband, lakini wengi mambo huenda ndivyo sivyo. Kuna watu unawaona wanaendana hadi raha lakini inakuwa hola! Nini kiweje? kuna formula au hakuna? Nini kinamuweka mtu 6 solid years kwenye u girlfriend/boyfriend then anakuja ingia mjengoni mtu mpya hata 6 months hajamaliza.
Yani unashuhudia mdada kaachwa solemba kwenye mataa na kipete chake kidoleni, mwingine ashafua sana majeans na kudeki kwa mkaka, amepika amepakua, mwingine kajibebesha mimba kamzalia jamaa lakini waapi! ila wanaume nyie nyie God is watching. Hivi kwani kama unamipango yako mingine why umkeep mtu kwa matumaini muda mrefu? Au wadada wengine ving'ang'anizi? Na wale wengine wasotea miaka sita ndo wanaingia huko lol!
Mnacheleweshwa na nini kwani jamani? Hayaaaa mje mshushe experience zenu na mawaidha hapa ili watu wasiimbe sana ule wimbo wa teeeenda miujiza Bwana teeendaa muuujiiizaaa usiache Mungu mwaka huu upiteee bila kuteeenda Muujizaa, it may help! Hamuwezi jua walioko kwenye hilo janga labda wakajikwamua.
Karibuni
Yani unashuhudia mdada kaachwa solemba kwenye mataa na kipete chake kidoleni, mwingine ashafua sana majeans na kudeki kwa mkaka, amepika amepakua, mwingine kajibebesha mimba kamzalia jamaa lakini waapi! ila wanaume nyie nyie God is watching. Hivi kwani kama unamipango yako mingine why umkeep mtu kwa matumaini muda mrefu? Au wadada wengine ving'ang'anizi? Na wale wengine wasotea miaka sita ndo wanaingia huko lol!
Mnacheleweshwa na nini kwani jamani? Hayaaaa mje mshushe experience zenu na mawaidha hapa ili watu wasiimbe sana ule wimbo wa teeeenda miujiza Bwana teeendaa muuujiiizaaa usiache Mungu mwaka huu upiteee bila kuteeenda Muujizaa, it may help! Hamuwezi jua walioko kwenye hilo janga labda wakajikwamua.
Karibuni