habari wana jamvi. . . .nimechaguliwa udom kozi ambayo sikuichagua,wala chuo chenyewe sikukichagua,ila nataka niende hapohapo waliponichagua,je nitacomfirm vipi au nikikaa kimya wataelewa kuwa nimekubali?. . . . . .msaada tafadhali.
Hivi hizi button mbili;Confirm Program Allocation na Opt For 2nd Application,zipo active kwa wale tu ambao walipangiwa vyuo na program ambazo hawakuzichagua au? Nimeuliza kwa7bu kwenye profile yangu mimi hazpo active na nilishapata chuo ambacho nilikichagua mwenyewe.
Hivi hizi button mbili;Confirm Program Allocation na Opt For 2nd Application,zipo active kwa wale tu ambao walipangiwa vyuo na program ambazo hawakuzichagua au? Nimeuliza kwa7bu kwenye profile yangu mimi hazpo active na nilishapata chuo ambacho nilikichagua mwenyewe.
yeah thanx,nimeingia and ile comfrm 4 ur alloctn ilikuwepo,na nimeclick,wakaniambia "congratulation,you are admitted to universty of dodoma in bachelor of . . . . ."
kwanza elewa hyo comfirm inawahusu wakina nani,mtu ambaye anatakiwa kucomfirm ni yule tu ambae amekua admitted katika chuo au kozi ambayo hakuomba kutokana na kushndwa katika competition ktk koz alizoziomba yeye,hvyo basi yule ambye amechaguliwa koz aliyoomba kati ya zile nane alizoomba mwenyewe,hakuna haja ya kukomfirm so that is y hyo sehemu ya kucomfrm haiko active,na hata yule ambaye anatakiwa kucomfirm akishafanya hvyo nae pia kwake inakua inactive,so jus wait for joining ur universty whch u are admitted to start. . .hop utakua umenielewa vizuri. . . .congrats
yeah thanx,nimeingia and ile comfrm 4 ur alloctn ilikuwepo,na nimeclick,wakaniambia "congratulation,you are admitted to universty of dodoma in bachelor of . . . . ."