Kikwete sio wa kumlinganisha na Lowassa.Lowassa ni namba nyingine kabisaa.
Inavyoonekana chama tawala kimeamua kutengeneza mazingira ya kupoteza imani na wananchi kwa kuona kwamba wanahitaji mabadiliko na wao wameshindwa kuwapa watanzania sasa wanatumia njia za matisho na kejeli na kujitoa ufahamu hata kwa wale wenye weledi wa sheria alimradi wapate fursa ya kutenda mambo yao ya kishenzi ambayo wameyatenda tangu kuanzishwa kwa vyama vingi nchini - udikteta.
Kulinda kura ni haki ya msingi ya raia kama ilivyo kujilinda wenyewe kwa kuwa hata dola zinatenda kusaidia chama tawala - aibu sana.
Sasa mimi pengine ningekuwa na wazo wananchi tuzuie access kwa watu wasiohusika kwenda eneo la kupiga kura ama kupeleka maboksi, ama hot pots, ama mabegi ya fedha, ama kupitisha gari lenye maboksi, ama mtu yeyote tutakayemtilia shaka na ikiwa lile siyo eneo lake la uchaguzi asipewe fursa kwenda eneo la kupiga kura kwa njia yeyote ile hadi matokeo yatoke.
Hii ni haki ya msingi na acha wao chama tawala waongelee kuhusu mita mia mbili (200), sisi tutaongelea kuhusu access ya majizi ya kura. Hapa bado tutakuwa tumelinda kura zetu
Nawakilisha
Inavyoonekana chama tawala kimeamua kutengeneza mazingira ya kupoteza imani na wananchi kwa kuona kwamba wanahitaji mabadiliko na wao wameshindwa kuwapa watanzania sasa wanatumia njia za matisho na kejeli na kujitoa ufahamu hata kwa wale wenye weledi wa sheria alimradi wapate fursa ya kutenda mambo yao ya kishenzi ambayo wameyatenda tangu kuanzishwa kwa vyama vingi nchini - udikteta.
Kulinda kura ni haki ya msingi ya raia kama ilivyo kujilinda wenyewe kwa kuwa hata dola zinatenda kusaidia chama tawala - aibu sana.
Sasa mimi pengine ningekuwa na wazo wananchi tuzuie access kwa watu wasiohusika kwenda eneo la kupiga kura ama kupeleka maboksi, ama hot pots, ama mabegi ya fedha, ama kupitisha gari lenye maboksi, ama mtu yeyote tutakayemtilia shaka na ikiwa lile siyo eneo lake la uchaguzi asipewe fursa kwenda eneo la kupiga kura kwa njia yeyote ile hadi matokeo yatoke.
Hii ni haki ya msingi na acha wao chama tawala waongelee kuhusu mita mia mbili (200), sisi tutaongelea kuhusu access ya majizi ya kura. Hapa bado tutakuwa tumelinda kura zetu
Nawakilisha
Wanajamii I must grab this rare opportunity to document a very attractive political scenario which was discussed for the past 7 years or so.
It is a story of two key politicians who nearly dismantled the great,oldest and grand political party in Africa namely CCM or CHAMA CHA MAPINDUZI.
They deceived one another and they end up in a great battle which awaits the final decision on 25th October 2015.
All clues and cues suggests that it will be Lt.Jakaya Kikwete left as one man standing!!!
Karibuni kwa mjadala !!
#hapakazitu
If Kikwete win this battle I swear the battle continues!!But this time will be "The have" and "The have not"..4 sure,Magufuli will never sustain and CCM will loose thereafter!!
Wanajamii I must grab this rare opportunity to document a very attractive political scenario which was discussed for the past 7 years or so.
It is a story of two key politicians who nearly dismantled the great,oldest and grand political party in Africa namely CCM or CHAMA CHA MAPINDUZI.
They deceived one another and they end up in a great battle which awaits the final decision on 25th October 2015.
All clues and cues suggests that it will be Lt.Jakaya Kikwete left as one man standing!!!
Karibuni kwa mjadala !!
#hapakazitu
Inavyoonekana chama tawala kimeamua kutengeneza mazingira ya kupoteza imani na wananchi kwa kuona kwamba wanahitaji mabadiliko na wao wameshindwa kuwapa watanzania sasa wanatumia njia za matisho na kejeli na kujitoa ufahamu hata kwa wale wenye weledi wa sheria alimradi wapate fursa ya kutenda mambo yao ya kishenzi ambayo wameyatenda tangu kuanzishwa kwa vyama vingi nchini - udikteta.
Kulinda kura ni haki ya msingi ya raia kama ilivyo kujilinda wenyewe kwa kuwa hata dola zinatenda kusaidia chama tawala - aibu sana.
Sasa mimi pengine ningekuwa na wazo wananchi tuzuie access kwa watu wasiohusika kwenda eneo la kupiga kura ama kupeleka maboksi, ama hot pots, ama mabegi ya fedha, ama kupitisha gari lenye maboksi, ama mtu yeyote tutakayemtilia shaka na ikiwa lile siyo eneo lake la uchaguzi asipewe fursa kwenda eneo la kupiga kura kwa njia yeyote ile hadi matokeo yatoke.
Hii ni haki ya msingi na acha wao chama tawala waongelee kuhusu mita mia mbili (200), sisi tutaongelea kuhusu access ya majizi ya kura. Hapa bado tutakuwa tumelinda kura zetu
Nawakilisha
JK bila Lowassa asingekuwa Rais..!! Hili liko wazi na kila mtu anajua..!!
Lowassa is the Most Genius politicians in Tanzania..!!!
If Kikwete win this battle I swear the battle continues!!But this time will be "The have" and "The have not"..4 sure,Magufuli will never sustain and CCM will loose thereafter!!
...very good idea;
km wao hawataki sisi tukae hizo mita 200, then hawataki pawepo na matumizi ya simu kwa mawakala, basi na mwisho waseme:
"HAIRUHUSIWI KUINGIZA CHOCHOTE KWENYE CHUMBA CHA KUHESABIA KURA" kama una njaa toka nje ule urudi ndani ukiwa empty without any material,hotpot, thermos or whatever.
Hao mawakala wa Ukawa ndio waliobaki na ni lazima wawe na misimamo thabiti.