How govt plans to police the internet

How govt plans to police the internet

Ka mkoa kenyewe hata kikombe hakajai nenda kaangalie ramani ya nchi yako ndio uta salute walio wengi walio down to earth wasio kuwa na coraption na wema wai unajulikana na ndio maana mungu kawapa madini yote yenye thamanj ktk aridhi yao
Tulia wewe ajuza usinikatie mauno ya kizamani hapa kamfanyie babu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
UPUUZI, HATA HIZO INTERNET CAFE CHACHE ZILIZOBAKI ZITAFUNGWA, MAANA HAKUNA MTU ANAENDA HUKO.... NI NANI ANAWASHAURI HAWA?
Watu unafikiri wengi huenda kufanya uhalifu online kama wewe?Watu huenda kuangalia mfano matokeo ya mitihani ,kujaza fomu mbalbali online za visa,ajira ,kuagiza bidhaa nje au kusafirisha,mafomu ya biashara,nk nk Internet cafe zitaendelea tu kuwepo.Usidhani kila MTU hutumia internet cafe kuwasiliana na mange kimambi watu wanazitumia responsibly wewe ndio utakoma
 
Watu unafikiri wengi huenda kufanya uhalifu online kama wewe?Watu huenda kuangalia mfano matokeo ya mitihani ,kujaza fomu mbalbali online za visa,ajira ,kuagiza bidhaa nje au kusafirisha,mafomu ya biashara,nk nk Internet cafe zitaendelea tu kuwepo.Usidhani kila MTU hutumia internet cafe kuwasiliana na mange kimambi watu wanazitumia responsibly wewe ndio utakoma

I do not live in Tanzania...... na I use internet for work.... hata hao wanaoenda kuangalia matokeo wanaitaji privacy.....
 
finally confirmed.....100% dictatorial rule has now announced its arrival in our motherland Tanzania.
 
Tulikuwa tunawacheka wakorea kaskazini, naona ndiko tunakoelekea
Uhuru ukizidi mipaka unakuwa uhayawani, mambo myatake wenyewe mkipatiwa mnalalamika, kwani hujui kama kutukana ni kosa la jinai? unapokaa nyuma ya kibodi na kuanza kutukana tena kumtukana mkuu wa nchi ilhali ukielewa wazi kwamba unachofanya ni jinai ila kwa kuwa natukana kupitia jamiiforums siwezi kujulikana sasa mwisho wake umefika...kucriticize ni kitu kimoja, kutukana ni kitu kingine.
 
tunataka kuficha nn?kwnn serikali haijiamini imekuwa na uoga na watu wake?....vp tumeangalia hosp na disp zetu zina dawa zakutosha naona kuna kitu hakipo sawa vp huko mashuleni hali ikoje?kwnn tunahangaika kuzibiti uhuru wa habari kulikoni?hzo nguvu tungetumia kwnye masuala mengne
Kusimamia sheria ni kutokujiamini? unashida upstairs.
 
Haya maswali ungemuuliza nyerere unaye muuta baba wa taifa leo...hospital kutokuwa na dawa hajaleta magufuli ilikuwepo tangu enzi za nyerere..ukiongelea shule shule zilikuwa nzuri wakati wa ukoloni tu baada ya hapo mliminywa akili mbona hamjasema miaka yote hiyo after all unadhani chadema ndio utakusaidia kitu since when selfish person will do good for you? Jiongeze uone na uapande wa pili wa coin...uhuru gani unataka enzi za nyerere mlikuwa na uhuru? Kwa kweli mna mashafu ya kupigwa vibao sio ya ku kiss....eti uhuru wa habari wachina wana uhuru wa habari mbona wako mbali sana unakusaidia nini nendeni mka fanye kazi mlijenge hilo taifa sio kusikiliza mange anafanya nini mwenzenu yuko kazini kuwavuruga
Ivi hili dishi linafikiri kila mtu alikuwepo enzi za nyerere sasa kama. Kwaiyo unafikiri kila mtu tz anamuadu nyerere kama baba wa taifa. Kwaiyo kufeli kwa nyerere miaka iyo basi tuendele kufeli. Naona wewe umevimbiwa ugali wa lumumba
 
Kwa mashariti haya,internet cafe zitakosa wateja na baadhi zitafungwa kama sio kuendeshwa kwa hasara.
Nnaona nia yao ni kuziua kabisa. Kusema kweli sielewi hii serikali nnaona inataka kuua biashara zote binafsi maana mambo yao mengi sio kuwa yanajenga ila yanabomoa zaidi
 
We have a long journey to see the word "democracy".
We have an invisible dream to the so called " rule of law".
This is stupidity...!
 
TUNYOOSHE BABA JESKA
Ndio kwaaanza miaka miwili na nusu tu,bado miaka mi5 na nusu inakusubiria
Una uhakika na hiyo unayosema 5.5 ndiyo inamhusu?

Maana si ajabu akashindwa uchaguzi wa 2020 au labda baada ya 2025 wananchi wakaomba aendelee kuongoza
 
Ka mkoa kenyewe hata kikombe hakajai nenda kaangalie ramani ya nchi yako ndio uta salute walio wengi walio down to earth wasio kuwa na coraption na wema wai unajulikana na ndio maana mungu kawapa madini yote yenye thamanj ktk aridhi yao
Duuu wewe kwa lugha ulioiandika si bora ungetumia kiswahili sasa umeishia darasa la ngapi

Kama umemaliza darasa la saba harafu unashindwa kuunda sentensi moja ya kiswahili na kingereza duuu hii ni hatari
 
Watu unafikiri wengi huenda kufanya uhalifu online kama wewe?Watu huenda kuangalia mfano matokeo ya mitihani ,kujaza fomu mbalbali online za visa,ajira ,kuagiza bidhaa nje au kusafirisha,mafomu ya biashara,nk nk Internet cafe zitaendelea tu kuwepo.Usidhani kila MTU hutumia internet cafe kuwasiliana na mange kimambi watu wanazitumia responsibly wewe ndio utakoma
Wewe ndiye fala wa mwisho unafikiri watu wakianza kuencript information zao hii serikali lazy ndio itafua dafu?
 
Ah wapi, tutabanana hapa hapa hadi hiyo mizigo ya ujinga muitue! Nchi yetu sote.
Na sheria zipo kwa ajili yetu sote na ni wajibu wetu sote kuzitii, hakuna haki isokuwa na wajibu, hakuna asiyejua kuwa kutukana ni kosa la jinai, ni wajibu wa vyombo husika sasa kuwabaini na kuwafikisha mbele ya vyombo vya haki watuhumiwa, ni hatua nzuri sana kuliko kutufungia jamiiforums yetu sababu ya washenzi wachache wenye multiple accounts ambao kazi yao kutwa nzima ni kutukana tu.
 
China wanaweza kucensor kwa sababu
1. Wana uchumi mkubwa wanaweza kuafford vifaa vyenye ufanisi wa hali ya juu kufanya kazi ya filtering.

2. Wachina wana watu bilioni 1.5, yaani ni wengi kuliko population nzima ya Afrika. Kwa population hii Mitandao yao wao wenyewe ya ndani inawatosha

3. Siasa ya China ya Chama kimoja inawataka raia kutii chama cha kikomunisti, Kupinga chama tawala China ni kosa, Sisi siasa yetu ni vyama vingi, mawazo mbadala ni mengi

Sisi tukifanya censorship sana tunaweza kujikuta tunaslowdown upashanaji wa taarifa, au tukajikuta tunatengeneza monopolies wachache wa mitandao wakati mtandao nature yake ni ushiriki hadi wa mtu mmoja mmoja ( Nobody owns the web/internet).

Lakini ukicensor sana mtandao watu watazidi kwenda anonymous kupitia anonymous ownership, anonymous users etc, na ikienda hivi basi inakuwa ni hatari zaidi Maana kuwacontrol ni ngumu.

Njia nzuri ya kuregulate jambo ni kutoa incentives watu wajiunge ili waplay by the rules siyo kuwafanya waende chimbo!

Leo China imefungia youtube, facebook lakini bado kuna watu wametengeneza namna ya kuingia huko bila shida!, ila kwa kuwa China ina advantage ya population basi mbadala wa Facebook uitwao renren na mbadala wa youtube uitwao youku unawatosheleza wachina!. Remember Sisi tuko takriban milioni 50 tu
 
Nguvu hii hii ingetumika kutatua matatizo yanayowasibu wananchi, tungekuwa tumeendelea sana.
 
Kwa mashariti haya,internet cafe zitakosa wateja na baadhi zitafungwa kama sio kuendeshwa kwa hasara.

Mkuu, "Regulated cafe" zitapungua na "Unregulated cafe" zitafumuka. Price at black markets zitakuwa juu ili ku-cover costs za kuhonga regulators na law enforcement officers. Soma debates za ku-legalise narcotics na pro & cons za hiyo move. Research has shown that the DEMAND will determine whether a service is available OR not siyo regulations. The Genesis of "black markets" has remarkable literature and only clever balance can minimise the matter.

Simu za satelites zitaanza kutumika kwa wingi kwa wale watakaoweza. Also the use of "Dark web" will be promoted.
 
Nikiamua kuregister blog marekani, alafu nikaandika kuhusu nchi ya tanzania, hiyo vipi? Nalipia? Je, wanawezaje kuminya uhuru wangu?
 
Back
Top Bottom