How do you handle being an introvert?

How do you handle being an introvert?



Stranger: Why don't u have any friends?
Me: Starts singing this song
 
Tafuta hela dogo uwe na kwako ukiishi kwenye hizi nyumba zetu za uswahilini na huo I introvert wako utafanyiwa kitu kibaya na hawa wadada wenye mistress ya kuolewa
 
karibu tuwe marafiki then tudevelop solutions toward complex problems.
Ninapenda kusoma na kujifunza zaidi katika maeneo yafuatayo:
-business,engineering and technology.
 
Tafuta hela dogo uwe na kwako ukiishi kwenye hizi nyumba zetu za uswahilini na huo I introvert wako utafanyiwa kitu kibaya na hawa wadada wenye mistress ya kuolewa
Hao wadada huwa hata hatuongei nao sasa sijui watatufanya nn emb elezea kidogo
 
I'm also an introvert (24-28 yrs male), you are not alone. Mwanzoni ilinisumbua nilikuwa najiona kama nipo tofauti kwenye jamii ila baada ya kusoma articles mbalimbali online kuhusu introversion ndio nika understand personality yangu.

Chuo nili cope fresh nilikuwa busy na masomo with few meaningful friends. Ratiba ilikuwa kusoma, movies, story with friends, gaming, church repeat...

Now nina kazi yangu ni IT with two years experience on the job

Mara nyingi nikitoka kazini ni moja kwa moja ndani, tofauti na shughuli za nyumbani ninaweza nikaendelea na personal projects zangu tu basi.

Natambua umuhimu wa social interaction so mara moja moja huwa na visit friends during weekend au nawa invite kwangu

Kwenye issue ya kumeet with more people kama walivyoshauri wadau ni kweli ipo hivyo... talk to more people... the more you talk to many people the more friends you make.. niliupata ushauri huu online nikawa najaribu nikawa na uthubutu wa kumu approach mtu na kuanza maongezi naye... unaweza ukakuta mna similar interests na akawa friend

Hiyo ya watu kukuona kama unajidai au una dharau kwa sababu ya kutokujichanganya nao hata mimi imenitokea mara nyingi tu ila kumbe sio hawajui tu kuwa huwa tunapenda sana ila kwa personality yetu huwa inatuchukua muda kidogo kufunguka na kuwa conformable around them
 
Our culture made a virtue of living only as extroverts, and this might be one of the good payment free advice
Join any sport/health clubs to meet different people and share ideas,involve yourself into social community activities. That's very simple
 
You should stop labeling yourself as an introvert, get out of your head ,na ujifunze kuwa mtiaji wa stories
it works well though
 
Introverts are people who prefer time for themselves, few circle of friends, in short people who are not social because of being shy/quite/.

I think I have this personality,and it cost me as I feel like I don't have a life after work hours.

I need advice on how to train myself from being introvert..so that I may be able to socialize,meet people and make friends.
Sometimes people are not introvert in nature. They are depressed and unhappy and need support.

So jichunguze sana kabla haujaanza kujiita introvert na kumbe una matatizo.
 
Introverts are people who prefer time for themselves, few circle of friends, in short people who are not social because of being shy/quite/.

I think I have this personality,and it cost me as I feel like I don't have a life after work hours.

I need advice on how to train myself from being introvert..so that I may be able to socialize,meet people and make friends.
Njoo pm nitakusaidia kutatua changamoto dogo km iyo
 
Introverts are people who prefer time for themselves, few circle of friends, in short people who are not social because of being shy/quite/.

I think I have this personality,and it cost me as I feel like I don't have a life after work hours.

I need advice on how to train myself from being introvert..so that I may be able to socialize,meet people and make friends.
Something of nature or unconsciously Gained thru life experience....most of time when you trust no one due to hypocrisy of people in times of ups & down...


Introvert people are hardly be broken...coz expect nothing from anyone
 
Kuna kosa kubwa kudhani kuwa kuwa na aibu ni moja ya caracter za introverts. I am an introvert and at the same time I feel so confident of myself. Kiufupi huwa napenda kuwepo mahali for a reason, si mtu wa pic nics sana japo nimejiwekea mara chache na huwa nipo very fun kwa marafiki wachache wanaonijua.

Kuwa Introvert si ugonjwa na huwa nafeel so proud of that. Muhimu ni kujifunza kufit kadiri ya mandhari unamokuwemo. Usijefanya kosa eti uonekane extrovert utakuwa kichekesho. Extrovert naye anabidi ajifunze kuwa introvert kwa baadhi ya mambo. Hapa namaanisha kuweka uwiano sawa kwenye wasihi wako.
 
First,consider your introvertism a blessing not a misadvantage.We are just wired differently from extroverts.So we posess many things that many(extroverts) wish to have,but we take them for granted and focus on negatives,things a society full of extroverts view as the way of living;but it's not,it's their way of living.

We posess; high inteligence,creativeness,honesty,focus,deep love,confidence,decisiveness, you name it.

Secondly,you/we need to understand what being introvert really means.Introvert is not anti social,is not egoistic,is not shyness,is not many things we name it...

Introvert is the one that recharge by being alone.That is the only difference between an introven and extrovert.The need to recharge,to regain energy,to reboost by being alone., while extroverts prefer being around people to recharge.So you wanting to regain by being around people is denying yourself peace and happiness.You will never achieve that.

I used to think that way,but slowly i discovered that I'm introvert but can talk without shy,can stand before big audience and speak,can make friends easily,can engage in group talks very nicely,things that many extroverts can't but it's just that I prefer different.And you can learn that too,not because you are an introvert but as human being.These are soft skills
anyone should learn regardless of their personalities.

So my friend,the key is to accept you are an introvert and enjoy having few meaningful friends,enjoy being alone,enjoy learning to cope with boredoom(extroverts strugles too),enjoy learning new soft skills and enjoy the fact that you are different from extroverts just like they are different from us.
Well said buddy. I learnt to enjoy beeing introvert and I can tell you I really feel good of it. I have as many skills as any person would want to. I am full of energy and confidence which makes me so happy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom