Tetesi: Houthis waitarifu Marekani kuwa hawatashambulia tena

Tetesi: Houthis waitarifu Marekani kuwa hawatashambulia tena

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
72,993
Reaction score
102,833
Rais wa Marekani kasema kuwa Viongozi wa Houthis wamewasiliana na Viongozi wa Marekani na kusema kuwa hawatashambulia meli wala Israel.
Hii imefuatia mashambulizi ya Israel katika Bandari, Uwanja wa Ndege, Vituo zalishi vya umeme viwanda vya cement.
 
Rais wa Marekani kasema kuwa Viongozi wa Houthis wamewasiliana na Viongozi wa Marekani na kusema kuwa hawatashambulia meli wala Israel.
Hii imefuatia mashambulizi ya Israel katika Bandari, Uwanja wa Ndege, Vituo zalishi vya umeme viwanda vya cement.
Hawatashambulia meli tu ila Kisasi kwa Israel kitaendelea ila wajue Israel amesema mapigo ni Saba hadi waseme PO na nionyo kwa Iran..

Houthi kama Panya shida yake ajulikane tu wageni wakija home
 

Ukiwa na mtoto unampiga kidogo kidogo anazoea upigaji wako so anakudharau habadili tabia sasa Netanyahu ndio kiboko yao Maumivu ya USA Houthi aliukubuhu ududu wa Marekani ila wa Israel umemletea maumivu makali hadi sasa wale raia wameacha kuandamana baada ya kuona Israel sio adui wao bali Houthi wenyewe.. Wayemeni hawakutegemea Adhana from Tele Aviv ya kuwaambia wahame maeneo ya karibu kwani moto utawaka.. what kind of upendo uliopitiliza​

'We want peace,' Sanaa resident tells KAN after US, Israeli strike on Houthis - report​

The comments came following a joint counterstrike conducted by the US and Israeli air forces on Monday on Houthi targets in Yemen.​

1746550794082.png

he conflict between the Houthis and Israel must come to an end, Ayman, a resident of Sanaa, Yemen's capital, told Israel's public broadcaster KAN on Tuesday.

"The situation for us is very difficult; it needs to end. We want peace," Ayman noted.

The comments came following a joint counterstrike conducted by the US and Israeli air forces on Monday on Houthi targets in Yemen in retaliation for the Houthi missile, which crashed near Ben-Gurion Airport on Sunday.
 
Wayemen now wanachant ''Long Live Israel'' death to Houthi, Death to Ayatollah.. Netanyahu Akbar
 
Kenge sharti damu zimemtoke ndio huwa anaelewa! Mashenzi sana hayo majitu!

Hao Houthi nao wanapigania ardhi yao iliyoporwa na nani zaidi kuendekeza ugaidi?
 
Rais wa Marekani kasema kuwa Viongozi wa Houthis wamewasiliana na Viongozi wa Marekani na kusema kuwa hawatashambulia meli wala Israel.
Hii imefuatia mashambulizi ya Israel katika Bandari, Uwanja wa Ndege, Vituo zalishi vya umeme viwanda vya cement.
Habari hii ni kweli si tetesi tena ,Magaidi hao wamesalimu Amri na kuapa hawatafanya ujinga wao tena wa kuzishambulia Meli huko red-sea
 

Attachments

  • IMG_2339.mp4
    22.6 MB
Wayemen now wanachant ''Long Live Israel'' death to Houthi, Death to Ayatollah.. Netanyahu Akbar
Wameteseka sana chini chokochoko za magaidi kwa ufadhili wa Iran! Wako kwenye jela mbaya sana.
 
Aah..ila ss wagalatia hatujafurahi...amerusha taulo mapema sana
 
Back
Top Bottom