Mwaka 2015 Yemen imetoka kuchapana na hao vibaraka wa Wazungu tena sio Saudia peke yake ilikua ni coalition ya nchi 8 Saudia, UAE, Kuwait, Bahrain, Jordan, Qatar, Misri na Sudan tena wakisaidiwa na Marekani, UK, France, Israel na Canada.hahahahaha unazani ni rahisi kama unavyo Sema?
Yemen ni nchi masikini apo Middle East kurusha Ata kombola moja Saudia
Yemen itafutwa yote hakuna jiwe litabaki juu ya jiwe lingine zitabaki kelele za pray for Yemen tu
Vijana wanajua kuropokwa tu bila kufuatilua mamboMwaka 2015 Yemen imetoka kuchapana na hao vibaraka wa Wazungu tena sio Saudia peke yake ilikua ni coalition ya nchi 8 Saudia, UAE, Kuwait, Bahrain, Jordan, Qatar, Misri na Sudan tena wakisaidiwa na Marekani, UK, France, Israel na Canada.
Myemeni baada ya kuona hawa kenge wanataka kumzoea sana akaanza kutwanga visima vyao vya mafuta, wenyewe wakaomba mazungumzo ya Amani labda kama wewe ni mgeni wa siasa za mashariki ya kati ndio utawa under estimate hao Wahouth.
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Jana usiku natizama habari CGTN wameonesha raia wa miji mikubwa Yemen wakiandamana Houthi wakiitaka Houthi ilipize kisasi dhidi ya mashambulio ya USA .Kwakifupi Yemen hawana chakupoteza hao Saudia na UAE ndio watakiona wakitia pua yao Yemen,,,jamaa wanapiga moja moja kwenye vitega uchumi wao kazi wanayo tutarajie bei mpya ya mafuta tu soon kikinuka
Unajua kama Israel analinda maslahi ya USA pale middle east?Huu ndio unaitwa ushabiki maandazi, taani USA aipige Gaza Kwa maslahi Gani?
Japan kuku wa kidere siku hizi.Sikia mzee!
.
Kuna bidhaa za mabilioni ya dola zinapita pale kila siku. Alafu hao wavaa kobazi waachwe watambe tu huku mabilioni hayo yakipotea?
Japan leo kasema yuko pamoja na us na UK.
Hawa jamaa ukiwakuta kwenye vijiwe vyao vya kahawa hasa mida ya jioni utabaki kucheka tu na kugundua kwann CCM Iko madarakani Toka uhuruMakobasi shida sana.
Stori za kwenye vijiwe vya kahawa unazileta hapa!
Hata Syria Ni nchi kamili ina jeshi kamili, ardhi yake milima ya Golan ipo chini ya Israel imefanya Nini?.Unajua kama Israel analinda maslahi ya USA pale middle east?
Kuipiga Gaza ni kuidhoofisha Palestina na kutaka kuipanua Israel.
Uliwahi jiuliza Palestina ingekua nchi kamili na yenye jeshi kamili kingejiri nini kwa Israel alivyo hapendwi?
Na maslahi ya Usa middle east nani angeyalinda?
Syria ni failed parted nation.Hata Syria Ni nchi kamili ina jeshi kamili, ardhi yake milima ya Golan ipo chini ya Israel imefanya Nini?.
Bila kusahau Iran Ni nchi kamili ina jeshi pia ila imeiondoa Israel?..hiyo Palestine hata kama ingekuwa nchi kamili na jeshi kamili ingebaki kuwa Kama Lebanon tu.
Kwa namna unavyopenda vita nashawishika kuamini kwamba ulikuwa Kamanda kule KIBITISaudia na UAE ndio nchi ambazo Marekani ana maslahi nazo makubwa ya kiuchumi kuliko nchi nyingine yoyote hapo mashariki ya kati na pia kote kuna Us Military base.
Hapo Houth hawatakiwi kujiuliza mara mbili ni kuanza kutwanga tu visima vyao vya mafuta wenyewe wataomba kusimamisha vita.
Houthi sasa hivi nguvu zao zote wanatakiwa wazielekeze Saudia.
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Wee jamaa unanichekeshaga sana aisee.Sa we jiulize anapiga Yemen kwa maslaha gani? Yemen anazuia meli zinazo enda Israel ye America ni nani alazimishe ziende Israel .
Afu anaonyesha anaiogopa Yemen mpaa anakusanya nchi zingine. Kaogopa kwenda peke yake kasindikizwa na muingereza, Australia, South Korea, New Zeland, Baharain, Canada afu kuna wajinga hapa wanasema Yemen ana uwezo gani.
Ikiwa huyo America mnamkuza eti ni super power haoni hata aibu kusema kasaidiwa na hao wajinga.
Mimi naona hizo nchi zote zilizo shiriki watapewa dawa zao na Yemen red sea hakuna meli zao kupita.
Watu kama wewe ndo mnafanya imani yenu idharauliwe.Utakuta wewe naye una watu wanakaa wanakusukiliza hahahahahahaha!Na wewe kwa baadhi ya watu unaonekana bonge la kichwa yaani.Kwa mtindo huu wafuasi wenu wakidharaulika unapandisha jazbaWe wacha story nyingi mwambie America mbona hakuna meli zilizoenda Israel? Pili hizi nchi ambazo zilisema zimenda tetea maslaha yao, wambie basi wapitishe Meli zao.
Wamepiga target zote alizo piga Saud Arabia yani hakuna kipya walicho fanya zaid ya kuwauwa askari watano tu wa Yemen.
Mwambie America aonyeshe target alizo piga
Sa kuna raha kama kucheka.Wee jamaa unanichekeshaga sana aisee.
wacha hizo tukiwambia Israel hana kitu mnajidai oh sijui taifa la Mungu 😄Watu kama wewe ndo mnafanya imani yenu idharauliwe.Utakuta wewe naye una watu wanakaa wanakusukiliza hahahahahahaha!Na wewe kwa baadhi ya watu unaonekana bonge la kichwa yaani.Kwa mtindo huu wafuasi wenu wakidharaulika unapandisha jazba
Kwa uongo Ni asili yenu sikushangai. Watu wameona amekamatwa anatia hurumaHamna lolote Sadam hakukamatwa kama walivyo onyesha America, wanajeshi wa America wenyewe walikiri we baki una kula viazi asubuhi wenzako wanakula break fast heavy.
kwahiyo hamas wameshinda? hivi mkishiba ubwabwa kwanini mnaongeaka pumba ninyi?Hata kwa hamas tulikua tunajifariji
Waambie Maersk na shost zake waende na kutoka israhell
Ndio wameshinda kwa mikakati yao kufanikiwa kwa kiasi ridhishi.kwahiyo hamas wameshinda? hivi mkishiba ubwabwa kwanini mnaongeaka pumba ninyi?
Mie na wewe nani kashiba ubwabwa kijanakwahiyo hamas wameshinda? hivi mkishiba ubwabwa kwanini mnaongeaka pumba ninyi?
Akili bangi hizi wafuasi wa mungu feki Allah na malaya mwamediAaah kama hapa sawa
Cyprus nayo inatakiwa ipelekewe moto kwa kweli
Kila anaeshiriki kwanamna moja ama nyengine madhila dhidi ya wapalestine wa ghaza anatakiwa naye aonje uchungu wa anacho kifanya
Kati ya Hizbullah na houthi yupi yupo na nguvu kuliko mwenzake?