Housegirl achinjwa Mbezi Goigi

Housegirl achinjwa Mbezi Goigi

Neutral Figure

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2015
Posts
537
Reaction score
201
Wadau, kuna taarifa kuwa mitaa ya Mbezi Beach- Goig kuna housegirl amechinjwa. Hiyo nyumba huwa wanaishi wasomali...mwenye taarifa zaidi tafadhali atujuze
 
Dah! hii ni hatari kwa kweli kwa sasa tutaishi kwa wasiwasi kama itakuwa kweli maana hata ndugu yako akija usiku akagonga mlango itakuwa vigumu sana kumfungulia kwa hofu kubwa kwa mauaji yanayoendelea hivi sasa.
 
Heee nini tena?... mbona kuchinjana imekuwa fasheni, tena kama ni wasomali ndo zao wale. Mungu wangu
 
Wadau, kuna taarifa kuwa mitaa ya Mbezi Beach- Goig kuna housegirl amechinjwa. Hiyo nyumba huwa wanaishi wasomali...mwenye taarifa zaidi tafadhali atujuze
Inawezekana amechinjwa lakini hajafa. Acha kukurupuka, thibitisha taarifa kabla ya kusambaza kwa umma.
 
Inawezekana amechinjwa lakini hajafa. Acha kukurupuka, thibitisha taarifa kabla ya kusambaza kwa umma.
Wewe akilizako finyu sana...kwanza nani kasema amekufa?? kwahiyo kama amechinjwa na hajafa, hiyo taarifa aipaswi kuwa reported hapa? Au hapa tunareport taarifa za matukio ya mauaji tu? Sidhani kama wewe uko sawa 'upstairs'
 
No reaserch no right to talk aiseeeeeeeeeeeeee ni bora uthibitishe ndio ulete uzi maana maafa yanatisha
 
Wadau, kuna taarifa kuwa mitaa ya Mbezi Beach- Goig kuna housegirl amechinjwa. Hiyo nyumba huwa wanaishi wasomali...mwenye taarifa zaidi tafadhali atujuze

Kama ni hapo Goigi nina hakika patakuwa ni hapo Maeneo ya Jengo la Shamo hizo nyumba za jirani ambako kuna Wasomali wengi. Pole zake kama ni kweli.
 
Wewe akilizako finyu sana...kwanza nani kasema amekufa?? kwahiyo kama amechinjwa na hajafa, hiyo taarifa aipaswi kuwa reported hapa? Au hapa tunareport taarifa za matukio ya mauaji tu? Sidhani kama wewe uko sawa 'upstairs'
Sasa 'finyu' nani kati ya mimi na wewe? Hiyo ni taarifa au TETESI? Chuo gani kimekufundisha "reporting" ya taarifa ambazo ata wewe mwenyewe huna imani navyo? Unataka watu wakusifie kuwa wa mwanzo kushindwa kutoa taarifa iliyokamilika? Visimu vyenu vinawadanganya sana.

Thinking is inborn, but a learned skill.
 
Sasa 'finyu' nani kati ya mimi na wewe? Hiyo ni taarifa au TETESI? Chuo gani kimekufundisha "reporting" ya taarifa ambazo ata wewe mwenyewe huna imani navyo? Unataka watu wakusifie kuwa wa mwanzo kushindwa kutoa taarifa iliyokamilika? Visimu vyenu vinawadanganya sana.

Thinking is inborn, but a learned skill.
Umeulizwa swali....kwahiyo akichinjwa (bila kufa) hiyo taarifa haipaswi kuwa reported?
 
Umeulizwa swali....kwahiyo akichinjwa (bila kufa) hiyo taarifa haipaswi kuwa reported?
Hiyo siyo taarifa, bali ni tetesi. Mtoa uzi ameuliza mtandaoni badala ya kwenda kuuliza mashuhuda na mamlaka.
 
Mtu mmoja amechinjwa na hata kufa na kukimbilia KUSIKOJULIKNA! hahahhaaaaa
 
Wewe akilizako finyu sana...kwanza nani kasema amekufa?? kwahiyo kama amechinjwa na hajafa, hiyo taarifa aipaswi kuwa reported hapa? Au hapa tunareport taarifa za matukio ya mauaji tu? Sidhani kama wewe uko sawa 'upstairs'
Kwani kuchinjwa ni kufanywaje? Walipotabgaza watu walichinjwa Tanga wewe ulielewa nini? Acheni hizo. Kuchinjwa ni kuuliwa. La sivyo. Sema amekatwa mapanga au majambia.
 
Back
Top Bottom