KakaKiiza
Platinum Member
- Feb 16, 2010
- 11,943
- 9,457
Jamaa aliagiza house girl akaletewa kutoka Iringa kufika nyumbani akawa anafundishwa mazingira siku moja Baba mwenye nyumba alipo maliza kula chakula cha mchana akawa anatafuta Toothpick akawa hazioni akauliza hivi humu ndani toothpick mnazila??mbona juzi tu nimeleta nyingi zimeisha mara hii??House girl akajitetea"BABA MIMI NIKITUMIA HUWAGA NARUDISHIA KWENYE KACHUPA KAKE!ILA WAAKINA SELE NA JOHN WAO WAKITUMIAGA WANATUPA!!"Saa nyingine naokotaga walivyovitupa narudishia ndo maana hata hizi ulizotumia umezikuta!!!!