House girl anahitajika

Yaani kazi zote hizo, kupika usafi+ kumuangalia mtoto hata buku jero kwa siku haifiki?
Japo utakuwa unampa malazi na chakula but hayo malipo ni kidogo !...
Halafu msosi wenyewe ukute Ni WA kudandia dandia
 
Mkuuuu umeongea ukweli mtupuuu
Pesa gani hiii angalau 70 bhana mnawachukuliaje watu hawa mm nko maeneo walipo weng NA weng wanatafuta ila kwa bei io hapana hata roho inaniuma
 
Naomba kuwa housemaid wako tafadhali....[emoji18]
 
Jamani nao ni wanadamu hizo 40,000 haziwasaidii kitu maishani mwao
 
Naomba kuwa housemaid wako tafadhali....[emoji18]

Hahahahaha........mkuu wote tunataka tuchomoke kwenye umasikini lakini naona wengine tunarudishana nyuma. Imagine mtu anakutoa Shinyanga....mpaka DSM.......then anakwambia mshahara in 40k.

Maendeleo in kuthaminiana na kupeana ujira stahiki. Change should start from within us kabla hatujainyoshea vidole serikali. Hata Kama mishahara yetu ni midogo basi tufanye yale tunayoyaweza.
 
Wana jamvi msichana wa kazi anahitajika haraka Arusha mjini bei 40000 kwa mwezi kazi yake ni usafi,kupika,na kukaa na mtoto wa miaka mitatu kuhakikisha anakula anashiba. Mawasiliano 0762742349
Nadhanii umeelewaaaa...fanyaaa uongezee dau looo...[emoji1][emoji1][emoji1]
 
...utakuwa mpango wako wa kando umeuupgrade;
..acha kutupanga we ngosha!

Hahahahaha......mkuu utakuwa na mipango mingapi mji huu ? I always feel well nikiona raia wenzangu nao wanafanikiwa. Ndugu/rafiki mjinga au masikini in mzigo.
 
Kwani we Huna ndugu akusaidie harafu umlipe hiyo40
 
Yaani we kweli humpendi mwanao, mtu akuchungie mwanao then umlipe 40 dah
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…