mimi uwa najiuliza swali. Hivi kama nuclear bomb hairuhusiwi kutumia sasa uwa yanatengenezwa kwanini. Inakuaje watu wa invest pesa na muda mwingi kutengeneza hizi zana huku wakidai hayatatumiwa?
Hii ni danganya toto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.