Hotuba ya Warioba Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 18 Machi 2014 na Hoja ya Muungano wa Serikali Tatu

Ila chadema hili la review ya taratibu za uchaguzi hasa la kuandikisha na kuboresha daftari hawataki kulifanyia kazi..watu tumelisema sana..sana ..

Dr. unafikiri Chadema ifanye nini? Maana wenye wajibu wa kufanya hivyo ni selikali chini ya tume ya uchaguzi.
 

sina shaka na upuuz unaoendelea bungen,kilichobadilika kwa sitta ni cheo,toka spika kuwa mwenyekiti,toka waziri kuwa mwenyekiti,watu wana ushabiki ila Sitta kama watawala wengine,hana jipya,
 
sina shaka na upuuz unaoendelea bungen,kilichobadilika kwa sitta ni cheo,toka spika kuwa mwenyekiti,toka waziri kuwa mwenyekiti,watu wana ushabiki ila Sitta kama watawala wengine,hana jipya,
Mkuu, punguza jazba kidogo kwa madhumuni ya mjadala huu
 
Leo tena wagome,kwanini wanasigina kanuni,kwani Shein si yupo kwanini azindui bunge
 
Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wameingia Bungeni na muda wowote baada ya kutambulishwa Makamishna wa tume wataitwa kutimiza wajibu wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…