Hotuba ya viongozi wa CHADEMA huko Arusha

@Barubaru. Umejaribu kujenga hoja lakini imekaa kinafiki.

Wakazi wa Arusha ndio wana maamuzi wamchague nani sio wewe.

Madiwani hao 5 walionunuliwa na magamba ndo wako mtaani na hawana nyimbo.

Kwa taarifa chama makini kinataka viongozi quality na sio QUANTITY!

Pole! Naona CDM imewashika pabaya
 
Haijalishi nani atashinda au laa! Chadema hata kama watapoteza kata zote 4 wamefanikiwa kwa kufanya maamuzi magumu, wametoa fundisho juu ya makali yake. Alhamis mambo yote hadharani! Umejenga hoja vyema mkubwa!
 
Cdm wanaona mbali na sio kukumbatia maovu kwa maslahi binafsi heko kwa uongozi mzima wa cdm
 
<br />
<br />
we Batilda tulia weka makalio kwenye mkeka waache watu wafanye kazi. Umeshindwa kwenye uchaguzi kazi yako ni kulala na waume zako tu sasa
 
Haijalishi nani atashinda au laa! Chadema hata kama watapoteza kata zote 4 wamefanikiwa kwa kufanya maamuzi magumu, wametoa fundisho juu ya makali yake. Alhamis mambo yote hadharani! Umejenga hoja vyema mkubwa!

Nakubaliana na wewe mkuu kuwa kwa hili la maamuzi magumu ndio kushinda kwenyewe.
 

nadhani mkuuu hapo khs uchaguzi utakaokuja tuwachie waakazi wa Arusha wafanye maamuzi yao. wacha jamaa waende mahakamani kama watahisi hawakutendewa haki. inatubidi tufike mahali UOGA NA HOFU usitunyime usingizi, CDM watakuwa tayari kupokea matokeo...., hilo linafahamika. mabadiliko ni ya lazima hapa nchini mwetu kipindi hiki!
 
Kwa kweli hii imekaa vizuri hongera. Ninaona watu wa magamba wanavyojikanyaga hapa, wanahangaika kuitafutia hoja ya kuipinga lakini wameshindwa. Wananchi walikuwa na hamu ya kusikia huu mfano wa madiwani ili kujua ya kuwa hata mbunge akienda kinyume na sheria inabidi awajibike. Chadema wapewe nchi hata kesho tutawaona waliouza na waliokula mashirika yetu mpaka watanzania tumekuwa kama mayatima.
 

Asante Mkuu. Penye Ukweli uongo hujitenga. Kwa kuwa kila mtu anaelewa jinsi ambavyo wengine wanapata kigugumizi katika kuwachukulia hatua wanaovunja utaratibu basi ni vigumu wawe na hoja ya nguvu kwa hili.
 
<br />
<br />

Respect Mkuu. Thanks
 
Busara ya kawaida inakataa wazo la kwenda mahakamani kwa jambo kama hili na kwa namna mchakato mzima ulivyoenda kwa kuzingatia katiba ya chama chao. Ndio maana hata yule ambaye hakufika hukumu yake haikutolewa.
 

Kafungue kituo chako cha mfuta utuuzie, siasa hujui
 
Mtoa mada hana jipya. CHADEMA ni chama makini. Kinaamua bila kusubiri kupoteza muda. Wanatembea na Katiba, msingi wa maadili yao
 

Naona Gabachori umeamua Kudandia Mambo ya A Town,najua ni hofu tu pale watu kama akina Lema watapokuwa wanadhamana ya Kuongoza Jeshi La Polisi na Magereza, Unajua nini kitawapata Nyie Magabachori
 

Wameshindwa kusoma alama za nyakati zipi kwani maamuzi yaliyofanywa na CDM kuwafukuza wasaliti ndio kusoma kwenyewe alama za nyakati. Mikutano iliyofanywa jana haswa ule uliofanyika Tindigani jana umedhihirisha wazi kuwa wananchi wako tayari kumchagua mgombea mwingine wa udiwani baada ya Estomihi Mallah kufukuzwa. CCM isijaribu kujipa matumaini kwamba itanyakua badhi ya viti vya CDM huko ni kujidanganya kwani CDM bado inawanachama wengi mno na haijapoteza mvuto hapa Arusha.
 
Mtoa mada hana jipya. CHADEMA ni chama makini. Kinaamua bila kusubiri kupoteza muda. Wanatembea na Katiba, msingi wa maadili yao

Ni kweli ili chama chochote kilinde heshima yake kwa jamii lazima kiheshimu katiba yake na maadili yao. Ukikiuka maadili ya chama na kisha usijali ukiukwaji huo basi heshima yako haiwezi kubaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…