HOTUBA YA RAISI KAGAME UN General Assembly

HOTUBA YA RAISI KAGAME UN General Assembly

Aaaaaaaah,kivuli cha ICC kinamtisha na lazima safari hii ufike ukaungane na Tylor.Mr.kagame the International community shall continue to respect and uphold your rights to free opinion,but strongly oppose your opinions towards ICC justice prosecutions.
 
outstanding speech!...najaribu kutafuta alipokosea, sioni!..


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Good speech.
But i don't understand why is he giving the reconciliation process advice while himself hating it when adviced to it?
 
Na wewe umo kwenye hilo Kundi? basi Raisi wa Gambia ndio kaongea la Maana kuliko viongozi wote kama ndio kasema hayo

Na wewe ni kama Michael Scofield?

I wish i were ..
 
Ujasoma kilichoandikwa umeropoka tu

Duhh! usitokwe na mapovu ndugu yangu. Hizo zilikuwa comments zangu and why did i comment so?
Kagame anatoa ushauri wa Wakenya kusuluhishana wakati kuna watu waliuawa na kupoteza mali kama ilivyokuwa kwa Rwanda mwaka 1994. Yeye aliposhauriwa kusuluhishana nao akawa mbogo.... do you get a point?
Mbili, MR President pia anajaribu kueleza
 
Back
Top Bottom