katebhalila
Member
- Jun 26, 2013
- 25
- 3
Nilitegemea rais Kikwete angeweza kujifunza mengi baada ya ujio wa Rais Obama.
Rais Obama anavutia kwa sababu yuko kwa ajili ya wamarekani. Anapoilizwa hujibu kwa staha bila mzaha, na akizingatia kwamba anafanya hivyo kwa niaba ya maslahi ya wote na si chama wala yeye binafsi.
Sasa rais wetu anaposema eti kama wametumwa, sijui kina nani, eti wakamwambie.
Rais kama hana la kusema si angenyamaza kuliko kuongea umbea wa maslahi ya wachache.
Nikikerwa na hotuba yake.
Rais Obama anavutia kwa sababu yuko kwa ajili ya wamarekani. Anapoilizwa hujibu kwa staha bila mzaha, na akizingatia kwamba anafanya hivyo kwa niaba ya maslahi ya wote na si chama wala yeye binafsi.
Sasa rais wetu anaposema eti kama wametumwa, sijui kina nani, eti wakamwambie.
Rais kama hana la kusema si angenyamaza kuliko kuongea umbea wa maslahi ya wachache.
Nikikerwa na hotuba yake.