BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,041
Kabaki anabwabwaja tu, yeye mbona amedanganya umma wa Watanzania pale alipodai kwamba kama katiba mpya itaruhusu Serikali tatu basi jeshi litachukua nchi. Alipoulizwa ni Kiongozi/Viongozi gani wa jeshi (w)aliyetoa hilo tishio akabaki anang'aa macho na mpaka hii leo ameshindwa kutoa ushahidi wa kuthibitisha hiyo kauli yake.