Hotuba ya Mwisho ya Muammar Gaddaffi

Hotuba ya Mwisho ya Muammar Gaddaffi

Mwaka 1979 huyo rafiki yako Muammar Qaddafi alipomsaidia Nduli Idd Amin askari pamoja na siraha za kivita kupiga Tanzania nina imani ulikuwa haujazaliwa.
Kwani na wewe hujui hivyo vita kama vilikuwa vya kumsaidia Milton Obote ili arudi madarakani?
 
Gadaf wala siyo shujaa huwa namuona ni mpuuz mmoja tu km wa kwetu huku.
Kiongoz shujaa lazima usikilize wananchi wanasema nn. Kwann asingewaachia nchi wananchi? Libya ni ya kwake? Alikosa nn mpaka ang'ang'anie madarakani? Limebaki jinga limoja hiv linajifananisha na Yesu na lenyew litakipata alichokitafuta.
"Marais wa Aftica ni wapuuzi sana, angalia yule wa Burundi....Africa bado sana''
 
Mwaka 1979 huyo rafiki yako Muammar Qaddafi alipomsaidia Nduli Idd Amin askari pamoja na siraha za kivita kupiga Tanzania nina imani ulikuwa haujazaliwa.
kwanini Tanzania ilipigana na Uganda, ukijibu utakua umeutendea haki ubongo wako.
 
Back
Top Bottom