Hotuba ya Msemaji wa kambi ya Upinzani, Wizara ya katiba na Sheria 2015/2016

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,493
54,900

Bonyeza HAPA kusikili audio.
 

Attachments

  • 4_456663338345037831.doc
    112.5 KB · Views: 433
  • hotuba ya Lissu bungeni.mp3
    12.1 MB · Views: 986

Wabunge wa CCM hawana aibu na wala hawataomba radhi au kuyakana maneno yao......wananchi ndio tutawaadhibu.

 
Porojo ndeeeeefu, mbona kasahau kufanya "postmortem" ya alivyomshambulia Nyerere BMK?

Hapo sasa!
 
Ngoja waje wenye Chama Chao watakavyoiponda.Ila inatia hasira sana na uchungu mwingi..........
 
Dogo hilo?
Tundu Lisu anasema:
‘Bunge
Maalum’ lenye wajumbe wa
chama cha waliohusika na EPA,
Richmond/Dowans, Tegeta
Escrow, Operesheni Tokomeza
Wafugaji na Operesheni
Kimbunga dhidi ya Watanzania
waishio mipakani, kilipitisha
Katiba Inayopendekezwa
 
Lissu, Tanzanians are truly proud of you! You are a rare gem in this failed state!!!!
 
Tundu Lisu anasema:
‘Bunge
Maalum’ lenye wajumbe wa
chama cha waliohusika na EPA,
Richmond/Dowans, Tegeta
Escrow, Operesheni Tokomeza
Wafugaji na Operesheni
Kimbunga dhidi ya Watanzania
waishio mipakani, kilipitisha
Katiba Inayopendekezwa

Yaani kwenye hii hotuba lazima walisema pooooooooooooooo
 
figganigga

Hivi CCM huwa wanajisikiaje wakisoma HOJA NZITO kama hizi? Hasa katika dunia hii ambapo kila mtu can put two and two together!

I wish hotuba hizi ziwe zinaandikwa pia kwa kiingereza ile ziweze kusomwa na watu wengine pia. Mathalani Ban Ki Moon akisoma hii hotuba ya TL ataridhika kabisa kwamba alikuwa sahihi kabisa kumfukuza kazi Dr Asha Rose Migiro.

Kweli CCM is a mental disease! Kama mnafikiri mimi ninaongopa subiri majibu ya mtoa hoja Waziri wa Katiba na sheria uone kama atajibu POINT ZOTE 11 alizotoa TL kuhusu katiba pendekezwa.

The writting is already on the wall. Masaju CA jaribu kuokoa jahazi kama unaweza.
 
Last edited by a moderator:
Safi sana kamanda wetu Tundu lissu kipoko wakutetea raia katika haki zao za msingi,,,october tutakupa kuwa Mwanasheria mkuu wa serikali ndo title yako ipo loading, ,,,,,,,
 
Dogo sana hilo! Wala haliumizi kwani hakutukana ila aliweka ukweli hadharani! Mbona hujaongelea tofauti ya riport ya Ihema na ile ya tume ya haki za binadamu kuhusu Mwangosi

Ahsante Njaare, wewe una mtazamo kama mimi. Kutukanwa Nyerere na Tundu Lissu ni jambo dogo sana?

Sijuwi wengine wana panic nini?

Heko.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…