Hotuba ya Kiingereza ya Rais Magufuli na wafanyabiashara wa Afrika Kusini

For the first time hotuba inasomwa neno kwa neno.
No VIJEMBE.
'so that we can save time'

Acha hizo wewe,binafsi nilikuwemo ukumbini,kuna wakati alikuwa anaacha kusoma anazungumza na Audience kiingereza safi kabisa (sijafungua hiyo video labda iko edited).Kwa ufupi yuko vizuri,alikuwa anaongeza maneno yake out of a written speech kitu ambacho Mzee Mengi na Mhe.Mwijage hawakukifanya (Mbona hao hujawasema?,walikuwa hawabanduki kwenye Karatasi-Wewe utakuwa na lako jambo..go go go Magufuli).Na tuache hizo Kasumba eti Rais wetu hawezi kwenda nje ya nchi kwa sababu hawezi kuzungumza Kiingereza.Huo ni ulimbukeni.Samahani kama nimekukwaza.
 
Back
Top Bottom