HOTUBA YA BOI NI SUPA NIMEKUBALI.

HOTUBA YA BOI NI SUPA NIMEKUBALI.

Nimekubaliana na hotuba yako na uchambuzi wa kweli.Umewamaliza G55 na kiukweli nimekupa GOLD MEDAL. Si bure kwa G55.CONCLUSION WAMEPEWA PESA HAWA. FULL STOP.
NILIKUWA NAMLAUMU MBOWE LKN SI KWELI MBOWE TUKO PAMOJA YUKO KWENYE MAGEUZI MPAKA LIELEWEKE.
Heshima kubwa kwzko MBOWE
 
We nawe uwage unatuliza kinembe wanaume wanapo ongea we nenda kwenye mipasho huko huku achia vidume
relax gentleman,

nasubiri hotuba baada ya maelezo marefu ya stori na porojo. sijiu itaanza saa ngapi :pulpTRAVOLTA:
 
relax gentleman,

nasubiri hotuba baada ya maelezo marefu ya stori na porojo. sijiu itaanza saa ngapi :pulpTRAVOLTA:
Unakazi ya kushughulikia majungu na umbeya TU humu walikuwepo weNzako wengi TU lakini wako wapi nyie SI mmejitoa ufahamu twende tu
 
Unakazi ya kushughulikia majungu na umbeya TU humu walikuwepo weNzako wengi TU lakini wako wapi nyie SI mmejitoa ufahamu twende tu
niko mwewnyewe daima na
sihusiki na yeyote kueleza ukweli kijasiri :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom