Hotspot katika mtandao wa halotel

Mkuu nenda mobile data angalia data tracking.
Utakuta total data ulizotumia na zimetikaje.
Ukitaka kujua ni wezi ama si wezi clear kila kitu unga bando alafu truck utaelewa kwamba wao hawahusiki kuisha kwa data zako
 
Niuzieni hizo iphone tu jamani haxifai kabisa
Uzeni bei ya hasara mnunue tecno ndo nzuri...
Just kidding em jaribuni kufanya yafuatayo
[quote uid=33783 name="bface" post=15063173]Sio cm bwana mbona line zngine inakuwepo except halotel[/QUOTE]<br />Sikia fanya hivi connect kompyuta yako na internet hapa sasa utatumia hata sim ya rafiki. <br />Fungua itune alafu connect iPhone yako ikiwa na line ya halotel ndani. <br />Utaletewa popup ndani ya itune inakuambua setting update kama sikosei update ni kafail kadogo sana from there yua done.
 
Ata mimi ni hivyo hivyo tu kama nyie ๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚
 
It works santee sana halotel wakulipe kwa hili umewwsaidia kupata mteja mida hii nimejiunga na kifurushi nilishatupilia mbali line
 
Nimejaribu halotel na ni kweli speed yao iko vizuri sanaaa, kwa hilo wanastahili pongezi. Ila bado sijaelewa inakuaje MB kuisha kwa kasi sana tangu nianze kutumia halotel. Natumia line ya chuo na imetokea mara 3 GB 1 kuisha ndani ya masaa 16, kitu ambacho sio cha kawaida wakati matumizi ni ya kawaida sana, yani ku-browse, whatsapp, fb, jf na instagram tu. siku ya kwanza nkachkulia poa, kesho yake ikajirudia tena na siku iliyofuata tena. Nkaona huu utoto, nkarudi tigo juzi. Waangalie hilo kiukweli
 
It works santee sana halotel wakulipe kwa hili umewwsaidia kupata mteja mida hii nimejiunga na kifurushi nilishatupilia mbali line

My pleasure mkuu. Nashukuru pia post imekuwa msaada kwako
 
Tatizo iko fasta sana, kwahvo ukiweka uki browse data zinatumika sanaa
 
Kasi utofautiana
 
Wadau hivi simu yangu ndo setting haziko poa au coz nikiweka line ya halotel sipati hotspot ili kuweza kutumia net ya simu kwenye laptop, sijajua tatizo ni nini ila natumia iphone 5 au kwa iphone haikubali? Yeyote mwenye experience na hii kitu
Mbona kwangu nina access kabisa tena kwa kasi ya jabu, vipi umecheki password au haipati kabisa simu yako
 
Hao tigo ni mwendo wa Kobe, ndo maana bando lao haliishi haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ