Hoteli ya Mgonja? Parrot Hotel

Hiyo hotel inapigwa nyundo balaa yani walikua wanavunja kila mara humo ndani,pia finishing yake sio nzuri kama imelipuliwa tu
Hakukabidhiwa engineer mmoja, kuna maengineer walikula pesa na kusepa pale, ndio maana Mzee haelewani na vijana wake, ni wasomi Ila Mzee hawashirikishi kwny mambo ya msingi analeta watu wake wanampiga pesa halafu wanasepa zao

Kwenye finishing keshaita kampuni kama 4 za wahandisi

Labda kama humjui Shana Boy ndio unaweza kushangaa
 
Ka Magu kana wivu kwa wezi wenzie! Hakataki kapitwe wakati kenyewe ndio kanamilki fuko la hela!
 
UWT!?! Huu sasa utani.
 
Hii Tanzania tamu sana jamani kha! Nilikuwa nihamie Zimbabwe sihami tena kwani nitakosa hizi songombingo za kaboka mchizi 🤣 😀
 
Daaah hiyo nyumba kweli finishing yake ni hovyo,mradi umetumia pesa nyingi ila haikamiliki,bado bank walikua na mzozo nae kipindi cha 2018
Mgogoro ni kuwa hiyo bajeti hapo aliwekewa na kampuni moja ya uhandisi, yeye alikuwa na pungufu ya hela hiyo...akaenda bank kukopa ili amalizie vitanda, makabati, secretary stuffs na vitu vidogovidogo, akashindwa kurejesha pesa kwa wakati na wale wahandisi wakaondoka

Nahisi sasahv pesa itakuwa imejidouble kwa penalties kwasababu uchumi wake si mzuri na hata angemaliza mwaka huu hakuna wageni

Yaani kifupi tatizo kubwa la pale ni Management, yule Mzee ni Mbishi na mjuaji haswaa na hapendi Outsourcing

The situation is terrible
 
Hassan Hussein Mshana, maarufu mjini Arusha kwa jina la "Shanna Boyz"......Hatunaye tena. Mazishi yake ni leo tarehe 17.2.2021. tatizo la kupumua.
 
Sio nyumba za NSSF, ni nyumba za benki
 
Duh hili tatizo la kupumua limekuwa zito kweli kweli hasa kanda yetu ya kambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…