Inategemea na chuo mkuuu, vyuo vingine kama UDSM,DIT nk husomi ngoooo, ila kiukweli vyuo vingine sitaki kuvitaja hata EGM wapo kibao washikaji wanapiga engineering, so ni wewe tu.Bongoo hii ukiwa na hela hata HGL utasoma tu ila watakupigisha preentry ya kizushi miezi miwili utalipia dola 800 tu