Hot: How Do Spies Gather Intelligence?



Uko sawa Mkuu, yes training is vital lakini in some cases (some spies) it's not all that necessary, unakuta mtu tayari ndio kaumbwa hivyo (Natural sensitive instinct), anakusoma like an open book hata kwa kuliona jina lako tu!

*some of those books unazosema zimeandikwa na aina hiyo ya Viumbe ninayoisema hapa...
 
Fanyeni kazi aisee ishu ya ujasusi inahitaji hela sasa sisi hata mishahara ya kitengo na walinzi wa rais ni hela za misaada kutoka kwa wahisani
Ndio ambao baba jesca kasema atawafungia migodi

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Na ww ni miongoni mwa Spies nn naona unatiririka data si mchezo
 
ok, ngoja nibadili jina
 
Spies gather intelligence through open and secret means.
Kuna njia za wazi kama media pia kuna njia za siri kupitia hackers, informers (wapo wa aina nyingi sana), sleepers, honey traps (kukutega kwa kutumia mademu warembo sana)
 
But, huambatana na rituals au mefitation procedures ambazo zikifuatwa hakuna kufeli
Mkuu ndo kusema kwenye Ujasusi kumbe kunaweza ingizwa nguvu za giza!
Just connecting the dots.

"Do not compete with any one, do the best to become the best"
 
samahani 'dada' naomba kuuliza weye ni desk ama field agent,umespeshalaiz kwenye recon,counter intelligence,cyber espionage,analyst,social engeneering ama uko kwenye menejment.
 
Kwa hiyo, tamaduni ya braza K, wa futuhi inatumika kwenye ujasusi!?

Kwa hiyo, Mossad, KGB, CIA and the like are the worst witches!?

Kama mnasema kuwa pana mbinu mbadala!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…