kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 937
Hii kozi kaisoma Mwanangu tena nje ya nchi, kupata kazi ni issue, mpaka mkombozi alivyotunong'oneza kuwa Dubai na Doha wanatafutwa Kama njugu, jamaa aende kwenye website ya nchi husika Emirates na Qatar.Atashangaa. Wakishavuna wataambiwa SI wazalendo.