Jana kuna mgonjwa kaenda kufunga kidonda (dressing) cha kidole cha mguu kaambiwa Bima yake haina hiyo huduma ya bandage.
Bima aliyonayo ni hii ya wafanyakazi (NHIF); alielekezwa akanunue bandage apeleke ili wamfunge; ikabidi afanye hivyo
Kwa wanao husika na Hospitali ya Temeke naomba Muongozo.....
Bima aliyonayo ni hii ya wafanyakazi (NHIF); alielekezwa akanunue bandage apeleke ili wamfunge; ikabidi afanye hivyo
Kwa wanao husika na Hospitali ya Temeke naomba Muongozo.....