chumachakavu
Member
- Oct 1, 2017
- 55
- 103
Nimepeleka mtoto hospitali ana tatizo la sikio, nimefika hospitali ya rufaa mkoa Morogoro mnamo saa saba mchana baada ya hospitali ya Mazimbu kuniambia kuwa hawana specialist wa magonjwa ya sikio, baada ya kufika hospitali ya rufaa ya mkoa Morogoro kitengo cha bima.
Pale mapokezi wameniambia kwamba daktari ndo anakaribia kuondoka hivyo kwa leo mtoto hatotibiwa hadi jumatano ya wiki ijayo daktari ndo atakuwepo siku hiyo, ila kama unaweza kulipia fast struck uje kesho nimejiuliza sana ni kwa sababu mtoto anatumia bima au ni maslahi binafsi ya daktari?
Hii sio sawa maisha ya binadamu hayataki mzaha kama mnaoufanya. Mnacheza na maisha ya watu.wenye mamlaka litazameni hili,watu wanaweza kuichukua serikali yao kwa sababu ya wajinga wachache waliopewa dhamana.
Pale mapokezi wameniambia kwamba daktari ndo anakaribia kuondoka hivyo kwa leo mtoto hatotibiwa hadi jumatano ya wiki ijayo daktari ndo atakuwepo siku hiyo, ila kama unaweza kulipia fast struck uje kesho nimejiuliza sana ni kwa sababu mtoto anatumia bima au ni maslahi binafsi ya daktari?
Hii sio sawa maisha ya binadamu hayataki mzaha kama mnaoufanya. Mnacheza na maisha ya watu.wenye mamlaka litazameni hili,watu wanaweza kuichukua serikali yao kwa sababu ya wajinga wachache waliopewa dhamana.