kwanini tu
Member
- Nov 8, 2011
- 50
- 63
Naombeni msaada wa hospitali nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe huko njia ya haja kubwa. Sipati maumivu yoyote nimeamua tu kukitoa hicho kinyama sikitaki.
Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake
Naombeni msaada wa hospitali na gharama zake