bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Kumekuwa na malalamiko ya wagonjwa hasa wanaokwenda kutibiwa KAIRUKI hasa katika kitengo cha meno, kuhusu DR anayehusika na kutibu meno kuwa anakauli chafu, vitisho na kejeli.Anapotibu mgonjwa hutoa kauli za vitisho ambapo inampelekea mgonjwa kuogopa habari zilizotufikia hapa zinasema Dr huyu kwa siku hutibu wagonjwa 10 tu tena kwa mda maalum, ambapo hii inapelekea kulazimisha mgonjwa atibiwe kwa presha.
Katika dept ya dawa! Hawa watu wamekuwa wakibana dawa hasa kwa wale wanao2mia bima, zikiandikwa dawa 3 tofauti wao wanakupa dawa mbili.
MJIREKEBISHE!
Katika dept ya dawa! Hawa watu wamekuwa wakibana dawa hasa kwa wale wanao2mia bima, zikiandikwa dawa 3 tofauti wao wanakupa dawa mbili.
MJIREKEBISHE!