Honourable degree

Honourable degree

burhan6196

Member
Joined
Aug 23, 2018
Posts
65
Reaction score
84
Ivi honourable degree zipo? Zinakuaje?ili uipate ufanye nn? Ukiipata ina faida gani? IFM wanazitoa?
 
Ndio zipo..kuanzia GPA ya 3.8 hadi 5.0 kwa kozi yeyote..kila chuo zinatolewa.
Faida yake ni kwamba ukija baadae kuchukua masters utaruhusiwa kufundisha chuo
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Ivi honourable degree zipo? Zinakuaje?ili uipate ufanye nn? Ukiipata ina faida gani? IFM wanazitoa?
Ndio zipo, usipate sup wala carry over afuu gpa iwe inapanda kila mwisho wa semister,
Hiyo ndio honourable degree
 
Ndio zipo, usipate sup wala carry over afuu gpa iwe inapanda kila mwisho wa semister,
Hiyo ndio honourable degree
Hapo kwnye kupanda ndo kimbembe,mana kma mtu mwaka wa kwanza umepiga 4.7 utegemee uipandishe zaidi ya hapo kila mwaka?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Utofauti wake ni nn?
Honours ni degree mtu anayoipata akiwa na GPA kali ambayo amemaintain high pass mark tangu mwanzo wa masomo yaani distinction-Kwa kilatini Suma cum Laude.

Honorary ni degree mtu anapewa kwa heshima kulingana na wadhifa au mchango wake kwa Jamii.Nyingi huwa ni PHD wanata udaktari wa heshima wa Falsafa
 
Ndio zipo..kuanzia GPA ya 3.8 hadi 5.0 kwa kozi yeyote..kila chuo zinatolewa.
Faida yake ni kwamba ukija baadae kuchukua masters utaruhusiwa kufundisha chuo
Umedanganya. Sio kila chuo wanatoa. Alafu hicho sio kigezo cha kupata nafasi ya kufundisha chuo.
 
Supp or carry Nina mashaka kidogo,ila uwe unapanda GPA per semester mwisho wa siku unapata Hon.
gpa yangu ilikua inapanda kila semister na sikupata, na sikua peke yangu... Hon inategemea na chuo sio kila chuo wana hayo mambo.
 
Kama kigezo n kwamb usipate sup o carry throughout yrs of study... bas mimi nina honorable degreee
 
Kuna vitu vimeandikwa kwenye vyeti vyangu hata sijui ntavitumia wapi....
 
Back
Top Bottom