Ma great thinker, hivi ukipata ajali barabarani labda umegonga gari la watu kwa nyuma kisha askari wa usalama barabarani akaja eneo la tukio kuangalia hiyo ajali na nyie mkikubaliana kulipana, yaani aliyegonga akamtengenezee mwenzake gari lake, je kuna haja ya kumpa na askari wa usalama barabarani hela?
Maana nao huwa wanakaba penalti, sheria zinasemaje kwanza kuhusu ajali za namna hii?
Maana nao huwa wanakaba penalti, sheria zinasemaje kwanza kuhusu ajali za namna hii?