kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kama Kuna kundi lenye uchungu na Tanzania na ambalo linatumia akili na maarifa kuilinda Tanzania ni kundi la WATANZANIA WANAOELEZWA KWA HAWAITAKII MEMA TANZANIA, WASALITI NA WAMETUMWA NA MATAIFA YA MAGHARIBI.
Kila taadhari na ushauri unaotolewa na kundi hili na kupingwa na wanaoitwa wazalendo na Watanzania halisi umekuwa ukileta madhara kwa nchi na uchumi wetu.
Kundi la wasioitakia heri Tanzania limekuwa likizungumzwa kwenye mijadala mipana ya kitaifa na wengi wao wamekuwa wakiadhibiwa Kama waalifu lakini ukiangali mawazo na maoni wanayotoa ni yale yakulivusha Taifa, wamekuwa washauri wasio wanafki kwa nchi ndani na nje ya Bunge lakini hawasikilizwi kwa sababu wapo black listed kwenye nyoyo za watawala na watawaliwa.
Sina kumbukumbu Kama kundi la wasioitakia mema Tanzania Kuna siku limewahi kuishauri vibaya serikali bali wakati wote wamekuwa wakishauri ukweli na kwa Nia njema wakiamini kuwa hawana Tanzania nyingine.
Ni vyema wakajivunia kukataliwa na kundi dogo linaloishi kwa propaganda kuliko kukatishwa tamaa na kuamua kuwaunga mkono hao waitwao wazalendo na ambao wamekuwa vibaraka wa magharibi kwa vitendo ikiwemo kuuza rasilimali zetu, Uhuru wetu na Sasa wanauza utu wetu wakituamianisha kuwa wanatetea msimamo wa wananchi.
VIVA MNAODAIWA KUTOITAKIA MEMA NCHI YENU, MSIFE MOYO SHAWISHINI WENGINE TUIKOMBOE NCHI YETU KUTOKA KWENYE MIKONO YA WAZALENDO UCHWARA.
Kila taadhari na ushauri unaotolewa na kundi hili na kupingwa na wanaoitwa wazalendo na Watanzania halisi umekuwa ukileta madhara kwa nchi na uchumi wetu.
Kundi la wasioitakia heri Tanzania limekuwa likizungumzwa kwenye mijadala mipana ya kitaifa na wengi wao wamekuwa wakiadhibiwa Kama waalifu lakini ukiangali mawazo na maoni wanayotoa ni yale yakulivusha Taifa, wamekuwa washauri wasio wanafki kwa nchi ndani na nje ya Bunge lakini hawasikilizwi kwa sababu wapo black listed kwenye nyoyo za watawala na watawaliwa.
Sina kumbukumbu Kama kundi la wasioitakia mema Tanzania Kuna siku limewahi kuishauri vibaya serikali bali wakati wote wamekuwa wakishauri ukweli na kwa Nia njema wakiamini kuwa hawana Tanzania nyingine.
Ni vyema wakajivunia kukataliwa na kundi dogo linaloishi kwa propaganda kuliko kukatishwa tamaa na kuamua kuwaunga mkono hao waitwao wazalendo na ambao wamekuwa vibaraka wa magharibi kwa vitendo ikiwemo kuuza rasilimali zetu, Uhuru wetu na Sasa wanauza utu wetu wakituamianisha kuwa wanatetea msimamo wa wananchi.
VIVA MNAODAIWA KUTOITAKIA MEMA NCHI YENU, MSIFE MOYO SHAWISHINI WENGINE TUIKOMBOE NCHI YETU KUTOKA KWENYE MIKONO YA WAZALENDO UCHWARA.